Leo napenda tukumbushane wale wanasiasa na viongozi maarufu waliopata kubwagwa kwekye kinyang'anyiro cha ubunge majimboni,haijalisha kama walikuja kurudi mjengoniau ndio walishasaulika kabisa.Hii ni kwa sababu kule Dodoma sasa kunawaka moto na wengine hawatakuja kurejea kwenye chaguzi izijazo na tutawa-miss.
Basili Mramba-Rombo (2010)
Samwel Sitta-Urambo (1995)
Rita Mlaki
Charles Keenja
Lucas Seleli
Joel Bendera
.....................
Basili Mramba-Rombo (2010)
Samwel Sitta-Urambo (1995)
Rita Mlaki
Charles Keenja
Lucas Seleli
Joel Bendera
.....................