talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,101
- 2,051
Mkuu Diamond alianza kuonekana ana nyota ya kukubalika zaidi kuliko belle 9 wakati waliposhindana kwenye tuzo za kili music awards....ikumbukwe kuwa wakati huo 2010 wote hao walikuwa ni underground na hawakuwa na beef na media au wadau wakubwa wa bongofleva...hivyo ni wazi kuwa wote walikuwa wanategemea nguvu ya mashabiki...pia ikumbukwe kipindi hicho diamond hata hizo skendo alikuwa hana kbs yani bado kinda.
Sasa nashangaa unaposema belle 9 alikuwa juu zaidi ya diamond wakati wanaanza kutoka,na ilhali mashabiki waliamua kwenye tuzo za kili kwa kumtunukia diamond tuzo 3 kwa mpigo...baada ya hapo ndipo dogo akaanza kuinyoosha bongofleva maana kama chura ndo keshapigwa teke.
Wimbo wa mbagala huwezi kuufananisha na ngoma yeyote ambayo ilitoka kwa wakati ule...yaani kipindi cha mbagala kulikuwa hakuna takataka unaweza ilinganisha hapo...hii ngoma ilibamba mpk kero tena kwa rika na jinsia zote.
Belle 9 alikuwa mkali kwa kiasi chake lakini hakuwahi kumfikia diamond na hata kwa popularity ya ngoma zao hakuna ngoma hata moja ya belle ambayo ilikuwa most popular kushinda ya diamond kidoooogo kwenye masogange alikaza ila nyengine hazikuwa za kutisha sana ukilinganisha na pini za mondi....ukikaa na kuvuta picha kwa makini sana utaungana na mimi katika hili.
Ngoma kama, mbagala, nalia na mengi ft chidi benz, moyo wangu, mawazo ilikuwa ni misumari ya hatari kwa taifa aise...
Sasa nashangaa unaposema belle 9 alikuwa juu zaidi ya diamond wakati wanaanza kutoka,na ilhali mashabiki waliamua kwenye tuzo za kili kwa kumtunukia diamond tuzo 3 kwa mpigo...baada ya hapo ndipo dogo akaanza kuinyoosha bongofleva maana kama chura ndo keshapigwa teke.
Wimbo wa mbagala huwezi kuufananisha na ngoma yeyote ambayo ilitoka kwa wakati ule...yaani kipindi cha mbagala kulikuwa hakuna takataka unaweza ilinganisha hapo...hii ngoma ilibamba mpk kero tena kwa rika na jinsia zote.
Belle 9 alikuwa mkali kwa kiasi chake lakini hakuwahi kumfikia diamond na hata kwa popularity ya ngoma zao hakuna ngoma hata moja ya belle ambayo ilikuwa most popular kushinda ya diamond kidoooogo kwenye masogange alikaza ila nyengine hazikuwa za kutisha sana ukilinganisha na pini za mondi....ukikaa na kuvuta picha kwa makini sana utaungana na mimi katika hili.
Ngoma kama, mbagala, nalia na mengi ft chidi benz, moyo wangu, mawazo ilikuwa ni misumari ya hatari kwa taifa aise...