Tukumbuke tamthilia ya tausi

Tukumbuke tamthilia ya tausi

namkumbuka yule tausi wa kabla ya tamthilia na kale kawimbo kanako ibwa tauc ndege wang ndege wangu wathamani....wakikaa watu wawil....

Duu kale ka wimbo nakumbuka kaliimba hivi
Tausi ndege wanguuuu...
Ndege wangu wa thamani..
Ndege umekwisha mali..
Sasa wataka nini ..
Wapita watu wawili ....... na kuendelea nimesahau daa kitambo sanaa enzi za mwalimu
 
Eeeh.. jmn mtaani sisi ndio tulikuwa na tv isiyo na mashart kusema nani aingie kuona na nani aachee Kipindi hichoo HITACHI 20" tukawa bonge ya matajiri na twaishi mbavu za mbwaa ila imechapiwa na sementi imewekwa sakafu wenyewe tunadeki kama walionyumba za block ikifka saa 1 usiku j2 watu wazima wanaanza kuja waone matuki ya wiki,habari,na kuna kakipnd tena nakasahaa kanafwata alafu ndio TAUSI ianzee asikwambie mtu palikuwa panashonaa hapo ndanii mpk uwezi kusogeza mguuu mlangoni hillo rundo la ndala & viatu kama msikitinii... ile saa lindi aliyokuwa anatumwa kwenda kuangalia? Kingine Sitti&Dama&mzee Kassiri ni marehem hao kitamboo...

Kipande kidogo: Damaaa, damaaa uujuwee nakupendaa...
Mi nilikuwa nampenda Kibibi mbayaa nisipomuona kwenye siiin siku hiyoo hamu hainitokii.
 
Yule mlinzi wa mzee kasri, kilonzo nkuaga nampenda muda wote anacheka
 
Eeeh.. jmn mtaani sisi ndio tulikuwa na tv isiyo na mashart kusema nani aingie kuona na nani aachee Kipindi hichoo HITACHI 20" tukawa bonge ya matajiri na twaishi mbavu za mbwaa ila imechapiwa na sementi imewekwa sakafu wenyewe tunadeki kama walionyumba za block ikifka saa 1 usiku j2 watu wazima wanaanza kuja waone matuki ya wiki,habari,na kuna kakipnd tena nakasahaa kanafwata alafu ndio TAUSI ianzee asikwambie mtu palikuwa panashonaa hapo ndanii mpk uwezi kusogeza mguuu mlangoni hillo rundo la ndala & viatu kama msikitinii... ile saa lindi aliyokuwa anatumwa kwenda kuangalia? Kingine Sitti&Dama&mzee Kassiri ni marehem hao kitamboo...

Kipande kidogo: Damaaa, damaaa uujuwee nakupendaa...
Mi nilikuwa nampenda Kibibi mbayaa nisipomuona kwenye siiin siku hiyoo hamu hainitokii.

Dama naye ni marehemu?
 
wadau kwa wale walio angalia tamthilia ya tausi unakumbuka hawa.

Kibibi, Ashina, Ondieki, Bw. Sango, Zinzi, Dk. Kurya. Bi. Popo, Master Sugu, Eboso, Sikitu, Mponda,Mjuba
Watoto wa mzee kasri Sitti, Rukia na Rehema

Mke wa Mzee Kasri bi Zuri.
Lindi ambaye anaigiza kama mtoto wa mitaani 'chokoraa' na wenzake Vita na Joto
Rhoda ambaye anaigiza kama shangazi yake Lindi.
Dama na Mjuba Watoto wa Bw. Sango na Bi. Muhonja.

Hii thread imenikumbusha way back when blackberry and apple were still fruits.
Kwa upande wangu maisha yalikuwa mazuri na simple sana nilikuwa bado primary sina majukumu kula kulala...
Aisee uwa ninamiss utoto nahisi sikuutendea haki ndiyo maana nataka mwanangu afaidi utoto wake kwakuwa when that stage is gone it will never come back
 
Dah....Lindi nilimpenda sana..nilikuwa natafuta namna ya kumsaidia....nasema kutoka moyoni
 
Nimemkumbuka roda mwanamke alikua na roho kubwa yule khaaa..mindred alijuaga kumkomesha
 
Enzi hizo Tamthilia ikiwa tamthilia kweli...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom