TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,649
- 1,128
wadau kwa wale walio angalia tamthilia ya tausi unakumbuka hawa.
Kibibi, Ashina, Ondieki, Bw. Sango, Zinzi, Dk. Kurya. Bi. Popo, Master Sugu, Eboso, Sikitu, Mponda,Mjuba
Watoto wa mzee kasri Sitti, Rukia na Rehema
Mke wa Mzee Kasri bi Zuri.
Lindi ambaye anaigiza kama mtoto wa mitaani 'chokoraa' na wenzake Vita na Joto
Rhoda ambaye anaigiza kama shangazi yake Lindi.
Dama na Mjuba Watoto wa Bw. Sango na Bi. Muhonja.
Kibibi, Ashina, Ondieki, Bw. Sango, Zinzi, Dk. Kurya. Bi. Popo, Master Sugu, Eboso, Sikitu, Mponda,Mjuba
Watoto wa mzee kasri Sitti, Rukia na Rehema
Mke wa Mzee Kasri bi Zuri.
Lindi ambaye anaigiza kama mtoto wa mitaani 'chokoraa' na wenzake Vita na Joto
Rhoda ambaye anaigiza kama shangazi yake Lindi.
Dama na Mjuba Watoto wa Bw. Sango na Bi. Muhonja.