Tukubaliane, hatuna wimbo wa Taifa

Watanzania inabidi tujitahidi kuwa tunafikiria mambo ya maana kuliko kutumia muda kwenye keyboard kuandika mambo ambayo hayana maana yoyote. Wimbo wa Taifa lolote ni wimbo unaobeba mashairi yanazungumzia imani au pride ya nchi husika. Kwa vile wimbo wowote uni sifa kadhaa zikiwemo mdundo, mwafaka, mkong'osio na mashairi, cha muhimu katika wimbo wa Taifa ni yale mashari yake. Mdundo, mwafaka na mkong'osio na hata mashairi yenyewe vinaweza kuwa utunzi wa mtu yeyote hata ambaye siyo raia wa Taifa husika lakini mashairi yakawa yanalenga taifa husika.

Mtemi Milambo wa Tabora naye alikuwa na wimbo wake ukiitwa "oohh" chuma chabela mitwe", baadaye wimbo huu ulichukuliwa kuwa wimbo wa TANU "Oooh TANU yajenga nchi" na pia ukawa adopted kuwa wimbo wa KANU ya Kenya kuwa "Oooh KANU yajenga nchi" It is just a song, what matters are the lyrics.
 
Hivi umejiuliza south Africa na Tanzania nani ameanza kuwa huru na kuimba wimbo Wa Taifa !? Kwa wimbo Wa Zambia ni sawa na wetu tena ni kwania makusudi kuonesha dunia mfungamano Wa nchi za Africa .Tafuta hotuba ya Nyerere kuhusu hili
 
Safi sana kumfahamisha huyu RAIA.maana ameandika bila tafiti.
 
Awali nilikua mwepesi sana kuamini kila anachokiandika Malisa G. J
Nilikuamini kuliko ninavyoiamini Google..
Unfortunately nimekugundua wewe ni mtu wa kupika sana taarifa.. in short huna usichokijua.. Mchumi wewee!! Historian wewe!! Muhisabati wewe!! Geologist wewe!! Politician wewe!! Journalist wewe!! Mwanaharakati wewe!! Linguist wewe!! Plus many other self imposed titles... U must be a genius of some sort i guess!! Otherwise you are just another Con artist...
Maajaaliwa yako ya kuandika andika huoni haya wala kusita kuyatumia kuandika kile unachofikiri hata kama ni cha upotoshaji..
Maarufu kweli kweli kwenye kutaja taja majina tu kwenye mabandiko yako hata kama hayana uhusiano wowote ule na mada unayojaribu kuipigia debe... taking advantage ya wabongo majority wanaoshindia vichwa vya habari bila undani wa habari yenyewe plus wabongo wasivyowepesi kufuatilia nyaraka kubaini ukweli na uongo wa taarifa unayojivunia kuwadadavulia... unatumia hizi platforms za social media kuwajaza watu your cooked information ambazo hata huwa sijui unazitoaga wapi na kwa manufaa ya yepi...
Slow down buddy tumekubaini...
Nakushauri ungehamia kwenye uandishi wa riwaya na hekaya.. ingekufaa zaidi..

U r free kunidhihaki na kunitukana.. but it wont change the fact of u true colours...
 
TZ na SA ninani wakwanza kupata uhuru??au unachanganya kati ya uhuru na ubaguzi wa rangi??
 
Huyu ana agenda yake. Nitarudi tena atakapojibainisha kile anataka. Maana nakifahamu. Nitarudi akijiweka bayana. Upumbavu huu utaisha lini?
Huyu jamaa kila kukicha analeta mada za ajabu ajabu. Juzi kasema manager ww hotel kateuliwa kua DED sasa sijui na hii habari ya kubanwa tumwamini ama la
 
Wafuasi wa CDM kwa ubaguzi hatari wanabagua mpk wimbo wa Taifa. Wanaharakati nasikia mmeanza kumbagua ht Mbowe sasa
 

Bado na wewe hujatupa sababu au mifano ya upotoshaji wa Malisa it is not mere allegations kama ulivyoandika
 
Wimbo wetu watanzania ulikuwa huu, Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote.
 
Inabidi tuanze na mfumo wa nchi. Bila hivyo itabakia historia.
Kwa kuwa TZ ni muungano (TGK+ZNZ) tutashirikisha lafudhi za Qaswida na mashairi pia....!!
manyimbo ya kwaya kwaya tutasimamisha sasa !!

ombi bora tuanze propaganda za nyimbo za alwatan....
 
Mleta mada ameweka historia ya wimbo. Mnaopinga ukweli wake weken historia ya wimbo wetu na mtunz nani!!
Haiwezekan kitu cha kitaifa kisiwe na kumbukumbu!! Vinginevyo mleta mada yuko sahihi na tutafute wimbo wetu
Binafsi sina tatizo na mleta mada pamoja na historia aliyotoa lakini kwa sababu alikuwa na lengo la kutoa darasa juu ya wimbo wa taifa, alichopaswa pia ni kueleza hata kidogo namna tulivyocopy wimbo huo na ni nani alihusika kufanya hivyo lakini pia ni kwanini tuliamua kutumia wimbo huo. Na ni vipi nchi karibu tano zote zikopy wimbo huu? Habari za hati miliki zimekaa vipi katika hili?
 
Ngoja tusubiri.
Mbona wa zenj.. wapo ktk subira.... KM tu :- Mungu apishe mbali , lakini nature inahukumu rais wa leo akitembelewa na malaika yule ' .... nani atarithi ikulu ? au tutasubiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…