Tukubali tukatae hali ya maisha ni ngumu sana watu wanaishi kwa matumaini hawaijui kesho yao.

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Poleni watumishi wa umma kwa vifijo na ndelemo za kusifu na kuabudu mlizompa samia kwa kusema anaupiga mwingi hii naikumbuka mei mosi mwaka huu ambapo kila kukicha mlikuwa mkisema anaupiga mwingi sasa umemwagika mwezi jully mwishoni kila mmoja naona amenuna

waliowengi mlijuwa mtapata mikopo na kufanya biashara kupitia asikimia 23 sasa ni kazi iwndelee mshahara kiduchu uneongezwa njooni tupambane kwenye bei za bidhaa mbalimbali ambazo zinaendelea kupanda kila mwezi na kauli mbiu ya serikali ni vita ya urusi ndiyo imeleta matatizo makubwa pamoja na ugonjwa wa uviko 19 hayo yote yanasemwa na serikali lakini angalieni wapi serikali imepunguza matumizi jibu ni hamna je wananchi wamesaidiwaje kuhusu mfumuko wa bei uliopo jibu hamna badala ya kuwasaidia wananchi wameongezewa kodi ya miamala na tozo mabalimbali hii inamaana kuwa sisi tutajijuwa wenyewe serikali na watumishi wake hasa wenye vipato vya juu hakuna anayeumia atakayeendelea kuumia ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya mungu nisaidie pakuche salaama.

serkali ingekuwa na malengo mazuri ingepunguza matumizi katika maeneo mbalimbali ili kudhihirisha kuwa kwa sasa hali ni mbaya lakini hali ni mbaya kwa wananchi serikali yenyewe inaendelea na mambo yake. hivi serikali inawekwa na watu gani kwanini wananchi tunadharauliwa kiasi hiki.

mungu wa mbinguni tunaomba tunusuru na serkali inayotaka amani tu huku wananchi wake wakilala njaa

Sisi wananchi amani tunajuwa ipo lakini amani ya moyo maisha yamekuwa magumu mno.
 
Poleni watumishi wa umma kwa vifijo na ndelemo za kusifu na kuabudu mlizompa samia kwa kusema anaupiga mwingi hii naikumbuka mei mosi mwaka huu ambapo kila kukicha mlikuwa mkisema anaupiga mwingi sasa umemwagika mwezi jully mwishoni kila mmoja naona amenuna

waliowengi mlijuwa mtapata mikopo na kufanya biashara kupitia asikimia 23 sasa ni kazi iwndelee mshahara kiduchu uneongezwa njooni tupambane kwenye bei za bidhaa mbalimbali ambazo zinaendelea kupanda kila mwezi na kauli mbiu ya serikali ni vita ya urusi ndiyo imeleta matatizo makubwa pamoja na ugonjwa wa uviko 19 hayo yote yanasemwa na serikali lakini angalieni wapi serikali imepunguza matumizi jibu ni hamna je wananchi wamesaidiwaje kuhusu mfumuko wa bei uliopo jibu hamna badala ya kuwasaidia wananchi wameongezewa kodi ya miamala na tozo mabalimbali hii inamaana kuwa sisi tutajijuwa wenyewe serikali na watumishi wake hasa wenye vipato vya juu hakuna anayeumia atakayeendelea kuumia ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya mungu nisaidie pakuche salaama.

serkali ingekuwa na malengo mazuri ingepunguza matumizi katika maeneo mbalimbali ili kudhihirisha kuwa kwa sasa hali ni mbaya lakini hali ni mbaya kwa wananchi serikali yenyewe inaendelea na mambo yake. hivi serikali inawekwa na watu gani kwanini wananchi tunadharauliwa kiasi hiki.

mungu wa mbinguni tunaomba tunusuru na serkali inayotaka amani tu huku wananchi wake wakilala njaa

Sisi wananchi amani tunajuwa ipo lakini amani ya moyo maisha yamekuwa magumu mno.
Ccm ni
 
njooni tupambane kwenye bei za bidhaa mbalimbali ambazo zinaendelea kupanda kila mwezi
Kupanda kwa bei za bidhaa itumie Kama fursa ya wewe kujipatia kipato zaidi.

Uza uji, mchicha, unga, maharagwe n.k kwa bei hiyo ya juu ili upige hela. Acha kulialia mtanzania mwenzangu. Amka!
 
Poleni watumishi wa umma kwa vifijo na ndelemo za kusifu na kuabudu mlizompa samia kwa kusema anaupiga mwingi hii naikumbuka mei mosi mwaka huu ambapo kila kukicha mlikuwa mkisema anaupiga mwingi sasa umemwagika mwezi jully mwishoni kila mmoja naona amenuna

waliowengi mlijuwa mtapata mikopo na kufanya biashara kupitia asikimia 23 sasa ni kazi iwndelee mshahara kiduchu uneongezwa njooni tupambane kwenye bei za bidhaa mbalimbali ambazo zinaendelea kupanda kila mwezi na kauli mbiu ya serikali ni vita ya urusi ndiyo imeleta matatizo makubwa pamoja na ugonjwa wa uviko 19 hayo yote yanasemwa na serikali lakini angalieni wapi serikali imepunguza matumizi jibu ni hamna je wananchi wamesaidiwaje kuhusu mfumuko wa bei uliopo jibu hamna badala ya kuwasaidia wananchi wameongezewa kodi ya miamala na tozo mabalimbali hii inamaana kuwa sisi tutajijuwa wenyewe serikali na watumishi wake hasa wenye vipato vya juu hakuna anayeumia atakayeendelea kuumia ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya mungu nisaidie pakuche salaama.

serkali ingekuwa na malengo mazuri ingepunguza matumizi katika maeneo mbalimbali ili kudhihirisha kuwa kwa sasa hali ni mbaya lakini hali ni mbaya kwa wananchi serikali yenyewe inaendelea na mambo yake. hivi serikali inawekwa na watu gani kwanini wananchi tunadharauliwa kiasi hiki.

mungu wa mbinguni tunaomba tunusuru na serkali inayotaka amani tu huku wananchi wake wakilala njaa

Sisi wananchi amani tunajuwa ipo lakini amani ya moyo maisha yamekuwa magumu mno.
Kwa hiyo watumishi hawajui kesho yao yaani kwamba wale Wasukuma matoroli na watbeza mboga waliopauka ndio wanaishi kwa matumaini?

Waambie waache Kazi Ili wakale maisha kitaa..

In fact Serikali iwasaidie watumishi sekta binafsi huko wanadhulumiwa..

Kwa serikali kima Cha chini ni 370,000 wakati huko kwa sekta binafsi ni 100,000 au 120,000.
 
Poleni watumishi wa umma kwa vifijo na ndelemo za kusifu na kuabudu mlizompa samia kwa kusema anaupiga mwingi hii naikumbuka mei mosi mwaka huu ambapo kila kukicha mlikuwa mkisema anaupiga mwingi sasa umemwagika mwezi jully mwishoni kila mmoja naona amenuna

waliowengi mlijuwa mtapata mikopo na kufanya biashara kupitia asikimia 23 sasa ni kazi iwndelee mshahara kiduchu uneongezwa njooni tupambane kwenye bei za bidhaa mbalimbali ambazo zinaendelea kupanda kila mwezi na kauli mbiu ya serikali ni vita ya urusi ndiyo imeleta matatizo makubwa pamoja na ugonjwa wa uviko 19 hayo yote yanasemwa na serikali lakini angalieni wapi serikali imepunguza matumizi jibu ni hamna je wananchi wamesaidiwaje kuhusu mfumuko wa bei uliopo jibu hamna badala ya kuwasaidia wananchi wameongezewa kodi ya miamala na tozo mabalimbali hii inamaana kuwa sisi tutajijuwa wenyewe serikali na watumishi wake hasa wenye vipato vya juu hakuna anayeumia atakayeendelea kuumia ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya mungu nisaidie pakuche salaama.

serkali ingekuwa na malengo mazuri ingepunguza matumizi katika maeneo mbalimbali ili kudhihirisha kuwa kwa sasa hali ni mbaya lakini hali ni mbaya kwa wananchi serikali yenyewe inaendelea na mambo yake. hivi serikali inawekwa na watu gani kwanini wananchi tunadharauliwa kiasi hiki.

mungu wa mbinguni tunaomba tunusuru na serkali inayotaka amani tu huku wananchi wake wakilala njaa

Sisi wananchi amani tunajuwa ipo lakini amani ya moyo maisha yamekuwa magumu mno.
WANANCHI ndio mna hali ya CHINI lakini sisi VIONGOZI wenu TUNAKULA KEKI ya TAIFA
 
Poleni watumishi wa umma kwa vifijo na ndelemo za kusifu na kuabudu mlizompa samia kwa kusema anaupiga mwingi hii naikumbuka mei mosi mwaka huu ambapo kila kukicha mlikuwa mkisema anaupiga mwingi sasa umemwagika mwezi jully mwishoni kila mmoja naona amenuna

waliowengi mlijuwa mtapata mikopo na kufanya biashara kupitia asikimia 23 sasa ni kazi iwndelee mshahara kiduchu uneongezwa njooni tupambane kwenye bei za bidhaa mbalimbali ambazo zinaendelea kupanda kila mwezi na kauli mbiu ya serikali ni vita ya urusi ndiyo imeleta matatizo makubwa pamoja na ugonjwa wa uviko 19 hayo yote yanasemwa na serikali lakini angalieni wapi serikali imepunguza matumizi jibu ni hamna je wananchi wamesaidiwaje kuhusu mfumuko wa bei uliopo jibu hamna badala ya kuwasaidia wananchi wameongezewa kodi ya miamala na tozo mabalimbali hii inamaana kuwa sisi tutajijuwa wenyewe serikali na watumishi wake hasa wenye vipato vya juu hakuna anayeumia atakayeendelea kuumia ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya mungu nisaidie pakuche salaama.

serkali ingekuwa na malengo mazuri ingepunguza matumizi katika maeneo mbalimbali ili kudhihirisha kuwa kwa sasa hali ni mbaya lakini hali ni mbaya kwa wananchi serikali yenyewe inaendelea na mambo yake. hivi serikali inawekwa na watu gani kwanini wananchi tunadharauliwa kiasi hiki.

mungu wa mbinguni tunaomba tunusuru na serkali inayotaka amani tu huku wananchi wake wakilala njaa

Sisi wananchi amani tunajuwa ipo lakini amani ya moyo maisha yamekuwa magumu mno.

CCM ni trush, haina tofauti Na mzoga mana haitambui harufu mbaya in inayotoa
 
Poleni watumishi wa umma kwa vifijo na ndelemo za kusifu na kuabudu mlizompa samia kwa kusema anaupiga mwingi hii naikumbuka mei mosi mwaka huu ambapo kila kukicha mlikuwa mkisema anaupiga mwingi sasa umemwagika mwezi jully mwishoni kila mmoja naona amenuna

waliowengi mlijuwa mtapata mikopo na kufanya biashara kupitia asikimia 23 sasa ni kazi iwndelee mshahara kiduchu uneongezwa njooni tupambane kwenye bei za bidhaa mbalimbali ambazo zinaendelea kupanda kila mwezi na kauli mbiu ya serikali ni vita ya urusi ndiyo imeleta matatizo makubwa pamoja na ugonjwa wa uviko 19 hayo yote yanasemwa na serikali lakini angalieni wapi serikali imepunguza matumizi jibu ni hamna je wananchi wamesaidiwaje kuhusu mfumuko wa bei uliopo jibu hamna badala ya kuwasaidia wananchi wameongezewa kodi ya miamala na tozo mabalimbali hii inamaana kuwa sisi tutajijuwa wenyewe serikali na watumishi wake hasa wenye vipato vya juu hakuna anayeumia atakayeendelea kuumia ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya mungu nisaidie pakuche salaama.

serkali ingekuwa na malengo mazuri ingepunguza matumizi katika maeneo mbalimbali ili kudhihirisha kuwa kwa sasa hali ni mbaya lakini hali ni mbaya kwa wananchi serikali yenyewe inaendelea na mambo yake. hivi serikali inawekwa na watu gani kwanini wananchi tunadharauliwa kiasi hiki.

mungu wa mbinguni tunaomba tunusuru na serkali inayotaka amani tu huku wananchi wake wakilala njaa

Sisi wananchi amani tunajuwa ipo lakini amani ya moyo maisha yamekuwa magumu mno.
Lini maisha hayakuwa magumu nchi hii?
 
Kupanda kwa bei za bidhaa itumie Kama fursa ya wewe kujipatia kipato zaidi.

Uza uji, mchicha, unga, maharagwe n.k kwa bei hiyo ya juu ili upige hela. Acha kulialia mtanzania mwenzangu. Amka!
Huyo atakae nunua nani wakati hela yote inaenda kunufaisha matumbo ya viongozi wachache?
 
Poleni watumishi wa umma kwa vifijo na ndelemo za kusifu na kuabudu mlizompa samia kwa kusema anaupiga mwingi hii naikumbuka mei mosi mwaka huu ambapo kila kukicha mlikuwa mkisema anaupiga mwingi sasa umemwagika mwezi jully mwishoni kila mmoja naona amenuna

waliowengi mlijuwa mtapata mikopo na kufanya biashara kupitia asikimia 23 sasa ni kazi iwndelee mshahara kiduchu uneongezwa njooni tupambane kwenye bei za bidhaa mbalimbali ambazo zinaendelea kupanda kila mwezi na kauli mbiu ya serikali ni vita ya urusi ndiyo imeleta matatizo makubwa pamoja na ugonjwa wa uviko 19 hayo yote yanasemwa na serikali lakini angalieni wapi serikali imepunguza matumizi jibu ni hamna je wananchi wamesaidiwaje kuhusu mfumuko wa bei uliopo jibu hamna badala ya kuwasaidia wananchi wameongezewa kodi ya miamala na tozo mabalimbali hii inamaana kuwa sisi tutajijuwa wenyewe serikali na watumishi wake hasa wenye vipato vya juu hakuna anayeumia atakayeendelea kuumia ni mimi na wewe ambao tunaishi maisha ya mungu nisaidie pakuche salaama.

serkali ingekuwa na malengo mazuri ingepunguza matumizi katika maeneo mbalimbali ili kudhihirisha kuwa kwa sasa hali ni mbaya lakini hali ni mbaya kwa wananchi serikali yenyewe inaendelea na mambo yake. hivi serikali inawekwa na watu gani kwanini wananchi tunadharauliwa kiasi hiki.

mungu wa mbinguni tunaomba tunusuru na serkali inayotaka amani tu huku wananchi wake wakilala njaa

Sisi wananchi amani tunajuwa ipo lakini amani ya moyo maisha yamekuwa magumu mno.
Magufuli ametuachia matatizo makubwa.
Katuletea watu waongo waongoooo.Hivi Tanzania nzima hatukuelewa maana ya asilimia 23? Hongera Pm endeleeni kula mema ya nchi hii
 
Kwa hiyo watumishi hawajui kesho yao yaani kwamba wale Wasukuma matoroli na watbeza mboga waliopauka ndio wanaishi kwa matumaini?

Waambie waache Kazi Ili wakale maisha kitaa..

In fact Serikali iwasaidie watumishi sekta binafsi huko wanadhulumiwa..

Kwa serikali kima Cha chini ni 370,000 wakati huko kwa sekta binafsi ni 100,000 au 120,000.
Mtaona habari yake sasa kama watu wataacha kuacha kazi na kugeuka kuwa wezi.

Sijui mtapita wapi huku mtaani na hayo magari yenu mnayo jidai nayo.

Najua mmetumwa, ila hili vugu vugu lililoanza halina wa kulizima.
 
Mi sijala na mpango wangu ni kukupoleni nyinyi mnaokula kwa matatizo yetu. Tutakutana kitaa.
Kesho nunua kilo mbili za unga. Moja itunze nyingine anza kuitumia. Baada ya siku 4 uza kilo ya unga uliyoitunza kwa bei karibu mara 2 ya bei uliyonununa. Simple business plan
 
Back
Top Bottom