Yanakufurahisha tu....? Vipi ujumbe hupati?Dah huwa yananifurahisha sana...
Yanakufurahisha tu....? Vipi ujumbe hupati?
hakuna jipya chini ya jua sang masanja!
mapenzi ni bain aya watu wawili......wewe utatulizana mwenzako anakufanyia featuring huko nje!!!!!!!tena kavu......maisha tunayoish ni ya kubahatisha..ukiona hujaupata ushukuru tu kuwa haujakutana na mwenye nao.....na kondom haijaamua kukupasukia!