serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,307
- 4,683
Nimechoka kumsema vibaya JK. Mwache apumzike salama. Najua nia yako. Na hatumshambulii ng'o. Kwanza hata yeye mwenyewe akiongezewa hata wiki moja baada ya muda wake kwisha ( kama atafanikiwa kumaliza miaka minne iliyobaki salama) hataki kabisa huo ujinga wenu mnaouita urais.
hahahaa,if u cant beat him, then....!!