Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,487
- 2,351
CCM Watanzania tunataka KATIBA MPYA .Acheni kupotosha kuwa Eti KATIBA sio ya VYAMA bali ya WANANCHI wakati Wananchi hao hao wapo kwenye HIVYO VYAMA.
VYAMA ni LAZIMA viwasemee WANANCHI wa NCHI hii,Vyama lazima Viwaelimishe Wananchi hawa Faida ya KATIBA MPYA kwani Kwenye Vyama kuna Wasomi wengi Wenye Uelewa wa Masuala ya Sheria.
Je, Wananchi wakitaka KUDAI KATIBA MPYA mnataka WAANDAMANE? Nani atawaunganisha hao WANANCHI wa NCHI Nzima ili WASEME tunataka KATIBA MPYA?
Nakipongeza sana Chama cha UPINZANI wa Dhati kabisa CHADEMA kwa kutoa ELIMU ya KATIBA na kuwasemea WANANCHI kuwa WANATAKA KATIBA MPYA.
VYAMA ni LAZIMA viwasemee WANANCHI wa NCHI hii,Vyama lazima Viwaelimishe Wananchi hawa Faida ya KATIBA MPYA kwani Kwenye Vyama kuna Wasomi wengi Wenye Uelewa wa Masuala ya Sheria.
Je, Wananchi wakitaka KUDAI KATIBA MPYA mnataka WAANDAMANE? Nani atawaunganisha hao WANANCHI wa NCHI Nzima ili WASEME tunataka KATIBA MPYA?
Nakipongeza sana Chama cha UPINZANI wa Dhati kabisa CHADEMA kwa kutoa ELIMU ya KATIBA na kuwasemea WANANCHI kuwa WANATAKA KATIBA MPYA.