Tuko serious Lowassa awe Rais?

Hivi sio serikali ya CCM iliyowafukuza wamasai kwao eti ili royal family ya Dubai ipate sehemu ya kuwindia wanyama? Mpaka international media ikaingilia kati.... Nakwambia mwaka huu CCMout!
 
viongozi wote wako hivyo, nenda hata butiama kwa mwalimu ujionee, kwa MKAPA ndio kabisaa kumearibika hata kijiji chao utaamini kama alitoka kule. kwa magufuri je, watu karibu wanakufa kwa kipindupindu kwa kukosa maji safi na salama.
 
Ukawa sawa ikulu,lakini sioni seriousness ya hilo ki 'vision' .jipangeni kwanza msije mkatuletea balaa la uarabuni
Hatutoi nchi na kumuweka amiri jeshi mkuu aliezungukwa na kindi liso dira
 
Kiswahili kibovu rais wako mwenyewe unayemtaka ana kiswahili kibovu balaa,bora huyu ni zile za l na R

Sio rais ninaye mtaka, ni yRais ambaye watanzania wanamtaka. Pia Hana kiSwahili kibovu sanasana ana kiswanglish tu. Pia kushindwa kujua mahali pa kuandika L na R ni tatizo sana. Usijidanganye wala kujipa moyo. Kosea kingereza na sio kiswahili. Kuongea ushindwe na kuandika nako ushinde ulisoma shule gani?
 
Wadau mimi kama mpenda mabadiliko na maendeleo ya nchi yetu nimesikitishwa sana na jinsi mgombea uraisi kwa tiketi ya UKAWA bwana EDWARD LOWASA alivyo tu-disappoint asilimia kubwa ya watanzania wapenda mabadiliko kwa kutuletea hotoba ambayo naiona kama ya kututania watanzania

Naamini watanzania wengi walikuwa na uchu wakutaka kumsikia mheshimiwa mgombea uraisi akitema cheche zenye maana na zakuleta matumaini,lakini badala yake alitoa HOTUBA ambayo hata mtoto wa darasa la 7 anaweza kumshinda,Kwa style kama hii LOWASA ninaweza kumfananisha na MWANAUME anayependwa na WASICHANA WAZURI lakini HAJUI KUTONGOZA hivyo kuishia kuwavunja moyo na mwisho wa siku hukimbia.

Pia kitendo cha kamanda MBOWE (a.k.a DJ) kumtoa Dr SLAA nakumleta huyu jamaa kutoka CCM tena baada ya KUKATWA kitaendelea kuitesa sana CHADEMA na sidhani kwa style kama hii huyu jamaa mheshimiwa kutuongoza kuelekea kwenye MABADILIKO YA KWELI

Mwisho ningeshauri viongozi wa CHADEMA waongee na Dr SLAA aokoe jahazi maana hali ya CHADEMA na UKAWA sio ya kutia matumaini kabisa.

#TANZANIAKWANZA

Ahsanteni sana
 
Kwanza tunakushukuru kwa kutambua lowassa ni rais.... Hapo kweli dozi inaanza kuingia taratibu. waambie na wenzako eeeee!!!!
 
CCM na usanii wake imefika mwisho.hatuitaki.mkulima anayekula mbegu hafai na ni zezeta wa kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…