Tuko serious Lowassa awe Rais?

mkuu hawawezi kukuelewa hata kidogo.
Sijui ni nan katuloga watanzania mpaka kuwa wapumbavu kiasi hiki.

Wanadanganywa eti anauchukia umaskin ndio anauchukia kwa familia yake lakn sio kwa watz.

Mkuu ndivyo siasa zilivyo kumbuka hata wana wa Israel walikataa Mungu asiwe mfalme wao walitaka wawe na mfalme mwanadamu kama mataifa mengine yaliyokuwepo kipindi hicho na cha ajabu zaid Mungu hakuwakatalia! aliwapa wakitakacho i.e. mfalme mwanadamu kama wao!

Kumbuka hata JK amedanganya sana; maisha bora kwa kila mtz, kigoma kuwa kama dubai, kujenga reli mpya, mgao wa umeme utakuwa historia......

Ndivyo siasa zilivyo cha muhimu yule anatakwa na wengi apewe nafasi pasipo kumwaga damu au kuleta machafuko ya aina yoyote!!
 
atakuwa rais kwawaliolishwa unga wa ndele ila kwa sisi tuliopata unga wa rutuba Magufuli ATOSHA.
 
Bwana nani anakudanganya lowasa kuchukua nchi hii,hizo ni ndoto,nsye analijua hilo kakabwa koo hana ujanja
 
Usihofu. HATAKUWA Rais
 
So huko jimboni kwa Magufuli ndo kuna ajira za kutosha sio ?
 

Mkuu kiukwel kabisa unaweza sema magufuli msafi ili hali ya kuwa watu washaleta madudu yake hapa jukwaan! (mfano tu yaan wewe mtu kasigina taratibu za kuuza nyumba za serikali, tena kamuuzia ndugu yake ambaye hakuwa hata mwajiriwa by then! ) any way kuwa neutral na kusimamia ukweli pale inapotatikana ni issue sana wanadamu walio wengi! wengi wao mahaba niue huchukua nafasi na ni human nature kwa mtu kuwa na wivu na kile anachokiamini!

Nafikiri neno "ana unafuu" labda linamfaa!
 
twende kwanza chato, butiama, masasi mtwara tufanye comparison sio kuleta hoja feki hapa

mimi na ukoo wangu wote kura ni kwa lowassa.
Lumumba mmelaaniwa ivi mgombea wenu namnadi lini? Na mnajua kuwa hauziki nyie kila siku kumnadi lowasa aiseeee hii sindano imewaingia
 

Hujawhi kufika MONDULI nENDA KAJIONEE SIYO UNAJIBWABWAJA TU HUMU NA HUELEWI
 

Aisee ungekua jirani ningekununulia soda!
 

Mimi binafsi bila kupepesa macho wala kumung'unya maneno nasema hivi niko serious na uamuzi wangu sitajutia, kura yangu kwa Lowassa.
 
Ebu tuletee na tafiti za Bwagamoyo ndani kule.
 

unaumwa?
 
mimi na ukoo wangu wote kura ni kwa lowassa.
Lumumba mmelaaniwa ivi mgombea wenu namnadi lini? Na mnajua kuwa hauziki nyie kila siku kumnadi lowasa aiseeee hii sindano imewaingia

Teh teh teh raha sana aisee!
 
kwanza kabisa una kiswahli kibovu kama cha mwanafunzi wa darasa la 3, SIO TAFLIJA NI TAFRIJA. Michango katika tafrija ni jambo la kawaida sana.
pili Mbunge anasimamia Sera na Ahadi alizowaahidi wananchi wake, hicho ndicho cha kumhoji na ikiwezekana kumwajiabisha nacho, Mila na tamaduni za watu wa Monduli vinahusika sana hapa. WAADZABE walichinjiwa Punda na serikali ili wakubali shule.
Tatu wewe sio Mkazi wa Monduli hujui katika sera zake aliwaahidi kitu gani na kitu gani hajatekeleza kama mbunge wao..

Mwishokitendo cha kumsaidia mtu kwa kumpa Pesa haimaanishi familia YAKO imejitosheleza sana, Uzoefu unaonyesha viongozi wenye nyadhifa wa CCM huwa hawapaswi kua wana upendeleo kwenye majimbo yao tu, wanapaswa kuitumikia nchi yote kwa ujumla.
Bila kusahahu ukweli kua CCM ime tafuna mabilioni ya shilingi bila hata kutoa msaada popote, mfano mmoja wapo ni bilioni 200 kwenye katiba mbovu iliyokwama, TANESCROW,EPA etc. How about that huh?
TUKO SERIOUS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…