Amerika ilimuua MUAMMAR GADDAFI na kuiharibu LIBYA ambayo sasa haijulikani tena namna ya kupona. Sasa, wanataka kumfuata nahodha wetu, IBRAHIM TRAORE JULIUS MALEMA
Kama jambo lolote likimtokea IBRAHIM TRAORE basi ni kwa sababu sisi vijana wa Afrika tumemwangusha* kwa kushindwa kuchukua hatua ipasavyo wakati ilihitajika.
Tunahitaji kusimama naye bila masharti na bila kuchoka kwa sababu akitokea kushindwa inaweza kuchukua takribani miaka mingine hamsini kumpata tena mzalendo mwenye maono kama yake kuongoza harakati za ukombozi wa Afrika!
Kama jambo lolote likimtokea IBRAHIM TRAORE basi ni kwa sababu sisi vijana wa Afrika tumemwangusha* kwa kushindwa kuchukua hatua ipasavyo wakati ilihitajika.
Tunahitaji kusimama naye bila masharti na bila kuchoka kwa sababu akitokea kushindwa inaweza kuchukua takribani miaka mingine hamsini kumpata tena mzalendo mwenye maono kama yake kuongoza harakati za ukombozi wa Afrika!