Tukiwekewa vikwazo, tutanunua wapi vipuli vya ndege?

Tukiwekewa vikwazo, tutanunua wapi vipuli vya ndege?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,436
Tanzania tuna ndege za Bomberdier, Boeing na Airbus.

Ndege zetu Ni mpya Sana na Ni nzuri Sana, Tena tulinunua kwa pesa taslim. Kama tujuavyo, usafiri wa ndege Ni wa gharama kubwa, Tena na vipuli vyake ni gharama kubwa, na vinauzwa tu na mzalishaji wa ndege.

Airbus ni Ufaransa, Boeing USA, na Bomberdier Canada. Hawa wote kwa sasa kwa namna moja au nyingine tuko nao vitani, Kama si Vita vya kiroho, Basi ni vya kiuchumi, wanasubiri tu, tuwaguse kisha wanuke.

Hivi ipigwa PIN kwa mfano vipuli vya ndege tutanunua wapi? Bei za black market tutaweza?

What am saying ;
Tusijifanye wagomvi wakati nguvu zenyewe za kukopa, turekebishe tulipokosea nchi ni muhimu na kubwa kuliko mtu mmoja, all this is a fall kwa kwa mtu mmoja kuwa mbabe.

Magufuli jishushe kuokoa wanyonge, kauli za kusema tuna Vita ya uchumi hazina maana kwa sasa. Vita na nchi za Ulaya utaiweza? Umekosea, kubali makosa, rudi nyuma jirekebishe maisha yaendelee
 
Akili za mandondocha wa kijani
102011131.jpg
 
Kwani ukigombana na marekani au canada(mabeberu), ina maana umegombana na kampuni za bombardier au boeing????

Eti upeleke cash boeing watagoma kukupa spea au kukuuzia ndege nyingine!

I dont think so.
 
Tanzania tuna ndege za Bomberdier, Boeing na Airbus.
Ndege zetu Ni mpya Sana na Ni nzuri Sana, Tena tulinunua kwa pesa taslim.
Kama tujuavyo, usafiri wa ndege Ni wa gharama kubwa, Tena na vipuli vyake ni gharama kubwa, na vinauzwa tu na mzalishaji wa ndege.
Airbus ni Ufaransa, Boeing USA, na Bomberdier Canada.
Hawa wote kwa sasa kwa namna moja au nyingine tuko nao vitani, Kama si Vita vya kiroho, Basi ni vya kiuchumi, wanasubiri tu, tuwaguse kisha wanuke.
Hivi ipigwa PIN kwa mfano vipuli vya ndege tutanunua wapi ? Bei za black market tutaweza ?

What am saying ;
Tusijifanye wagomvi wakati nguvu zenyewe za kukopa, turekebishe tulipokosea nchi ni muhimu na kubwa kuliko mtu mmoja, all this is a fall kwa kwa mtu mmoja kuwa mbabe.
Magufuli jishushe kuokoa wanyonge, kauli za kusema tuna Vita ya uchumi hazina maana kwa sasa.
Vita na nchi za Ulaya utaiweza? Umekosea, kubali makosa, rudi nyuma jirekebishe maisha yaendelee
tutanunua china tunapeleka sample wanachakata chap mbona ndege zetu za jeshi tunafanyiwa service na wa North Korea mabeberu wasitutishe in maalim seif voice
 
Watu wanazidi kujijaza Ujinga

Tanzania bila nchi zilizoendelea hatuwezi chochote.
Engineer wa ndege hizo sidhani kama bongo wapo ata wakiwepo vifaa na spare bongo hakuna.
tutaweza tu au mnasemaje ndugu zangu
 
Akili za mandondocha wa kijaniView attachment 1630655
Punguani Wahedi Anaweka Zebra Crossing Kwenye Barabara Ya Vumbi Halafu Porini!!! Hawa Kweli Waliiba Ushindi Yaani Wamechanyikiwa 😀😁😂😅😄😄😏!!


Mwenye Kuchora Zebra Crossing Kajichafua Kama Nini?😏😐🙄😎
Maana Yake Hawajitambui, Pumzi Imekata
 
Tanzania tuna ndege za Bomberdier, Boeing na Airbus.
Ndege zetu Ni mpya Sana na Ni nzuri Sana, Tena tulinunua kwa pesa taslim.
Kama tujuavyo, usafiri wa ndege Ni wa gharama kubwa, Tena na vipuli vyake ni gharama kubwa, na vinauzwa tu na mzalishaji wa ndege.
Airbus ni Ufaransa, Boeing USA, na Bomberdier Canada.
Hawa wote kwa sasa kwa namna moja au nyingine tuko nao vitani, Kama si Vita vya kiroho, Basi ni vya kiuchumi, wanasubiri tu, tuwaguse kisha wanuke.
Hivi ipigwa PIN kwa mfano vipuli vya ndege tutanunua wapi ? Bei za black market tutaweza ?

What am saying ;
Tusijifanye wagomvi wakati nguvu zenyewe za kukopa, turekebishe tulipokosea nchi ni muhimu na kubwa kuliko mtu mmoja, all this is a fall kwa kwa mtu mmoja kuwa mbabe.
Magufuli jishushe kuokoa wanyonge, kauli za kusema tuna Vita ya uchumi hazina maana kwa sasa.
Vita na nchi za Ulaya utaiweza? Umekosea, kubali makosa, rudi nyuma jirekebishe maisha yaendelee
Tutazichonga karakana ya Tazara Dar na karakana ya Tazara Mang'ula.
 
Back
Top Bottom