Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 397
- 662
Kufunga ni Imani, hivi kuna haja ya kujitangaza kuwa umefunga kwa kila mtu hadi kuwa kero kwa wengine,na wakati mwingine kuleta tafrani kwa wasiofunga kwa kuwazuwia wasile.
Kuna baadhi ya watu siyo wote wanakosa ustaarabu akifunga ye anakuwa kero kwa wengine.
Na wakati mwingine tusiofunga inabidi tujifiche vichakani tukila na kunywa kusubiri usiku ufike tujumuike wote kula nao tena.
Hili lipo sana kwenye kabila letu nisingependa kutaja ila mwenye kabila kama langu anaelewa, sijajuwa makabila mengine wakifunga wanakuwa wababe kama sisi.
Kuna baadhi ya watu siyo wote wanakosa ustaarabu akifunga ye anakuwa kero kwa wengine.
Na wakati mwingine tusiofunga inabidi tujifiche vichakani tukila na kunywa kusubiri usiku ufike tujumuike wote kula nao tena.
Hili lipo sana kwenye kabila letu nisingependa kutaja ila mwenye kabila kama langu anaelewa, sijajuwa makabila mengine wakifunga wanakuwa wababe kama sisi.