Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,609
Jamaa anafokafoka tu huko Iringa hana jpya, amepaniki...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
Jamaa anafokafoka tu huko Iringa hana jpya, amepaniki...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
uyo kichwa BIG lakin akili KISODA achana nae utamaliza bando lako tuWewe ndiye matope. Anasema timing ni muhimu. Baada ya mabomu attention yote imehamia Nyamongo
mmebaki kusema TL anatukana tu..hapo kalibia KO Inafuata ili iwaingie vizuriMmebakiza kutukana njia nzima kama walevi wa gongo.
Mtakoma mwaka huu.
Hahahahah ule mtama wa mchomvu ulitrend sana watu social media zote wanazungumzia mtama wa mchomvu tukama tukio la uwanja wa uhuru lilivyozimwa na mtama wa Adam Mchomvu
na kazi yake ya kudhalilisha jinsia ya kike ndio imekuwa kiki kwakeJamaa anafokafoka tu huko Iringa hana jpya, amepaniki
ndipo alipo mh rais ajae....nyie msikilizeni mh mstaafu aliyestaafishwa na ummaWatu wanafatilia kampeni za JPM Iringa wewe unatuambia habari ya Nyamongo,Nayamongo ndo mdudu gani?
Kwani huko Iringa kuna nini vileee?Nadhani Chama tawala wanakwama kwenye mikakati, nadhani dola inawaangusha wakiwa na Jambo lao.
Leo tukio la Polisi Nyamongo limechukua headlines social media nakufunika kampeni za Iringa zilizoandaliwa for five days. Hii kwenye siasa haitokei bahati mbaya, aidha Mwenyenzi Mungu anawachapa au binadamu wanawahujumu.
Ukikosea kwenye TIME and TIMING, Strategicaly umekwisha. Tunazidi kupotea kwenye ramani, gharama za kuzoa watu wilayani kuwapeleka mjini na kutumia wanafunzi mwisho wake ndo huu.
Siyo wakati wote dola inasaidia wakati wa uchaguzi dola ukasirisha zaidi wapiga kura.
NYAMONGO vs IRINGA
Sijakupata, Kwani Iringa Kuna Habari Gani??Nadhani Chama tawala wanakwama kwenye mikakati, nadhani dola inawaangusha wakiwa na Jambo lao.
Leo tukio la Polisi Nyamongo limechukua headlines social media nakufunika kampeni za Iringa zilizoandaliwa for five days. Hii kwenye siasa haitokei bahati mbaya, aidha Mwenyenzi Mungu anawachapa au binadamu wanawahujumu.
Ukikosea kwenye TIME and TIMING, Strategicaly umekwisha. Tunazidi kupotea kwenye ramani, gharama za kuzoa watu wilayani kuwapeleka mjini na kutumia wanafunzi mwisho wake ndo huu.
Siyo wakati wote dola inasaidia wakati wa uchaguzi dola ukasirisha zaidi wapiga kura.
NYAMONGO vs IRINGA
Hakuna mtanzania anayefuatilia habari za Iringa. Watu woote wanafuatilia habari za Nyamongo alipo rais mtarajiwa...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
Anakutosha weweAcheni kulialia, tulieni dawa iwaingie.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Mungu azidi kumpigania mh LissuNikiwaambia watu kwamba Tundu Lissu anaenda Ikulu Kama mchezo mchezo vile hawaelewi.
Yaani mwaka huu kila kitu kimeshakamilika na kupangwa ndio maana wabishi bado tunawacheck tu.
Lissu ndiye Rais wa JMT kuanzia October 2020.
Na wewe pamoja na ukoo wenu.
Msamehe bure mkuu maana lumumba woote sasa hivi wamesha changanyikiwa.Wewe ndiye matope. Anasema timing ni muhimu. Baada ya mabomu attention yote imehamia Nyamongo
...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
Anakutosha wewe unayeshindilia mutwiishe wakati wenzako tunatusua life kwa kwenda mbeleeNa wewe pamoja na ukoo wenu.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Ndo mafanikio ya JPM hayo hebu mpe kura uendelee kutusua.Anakutosha wewe unayeshindilia mutwiishe wakati wenzako tunatusua life kwa kwenda mbelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mmoja anamjambia mwenzake!Msamehe bure mkuu maana lumumba woote sasa hivi wamesha changanyikiwa.
Kuanzia boss wao hadi vibaraka so woote
Sent using Jamii Forums mobile app
FIESTA LIMEBUMA..
afadhali Mutwishe, je Fii...mbile kabisa ndilo linashindiamutwiishe