Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Jamani...
Rafiki yangu kapatwa na sokomoko la mwaka!
Ni hvi, jamaa anasoma Chuo kikuu Arusha na ana mchumba wake ambae wamepanga kuoana miez michache ijayo!
Cha kuskitsha, mchumba wake ambae tayari ana mimba amehtimu masomo ya ualimu wa shule ya msingi... Huko Lindi!
Walpangana aje had Arusha, then bint akafka Dar. Mara akapgiwa cm na mschana ambae hamjuw, yule mchumba akakasrika na kubadili njia, ameenda UDOM kwa bwana mwingne!
Kagoma kuja kwa msela wangu, na mimba yake ya miez minne! Jaman, dunian kuna mambo! Tumempgia cm kacema hawez kuja, tukamwambia huyo mkaka, mimba utafanyaje?!
Kitendawili, wacha tuone wakuu mnasemaje?
Rafiki yangu kapatwa na sokomoko la mwaka!
Ni hvi, jamaa anasoma Chuo kikuu Arusha na ana mchumba wake ambae wamepanga kuoana miez michache ijayo!
Cha kuskitsha, mchumba wake ambae tayari ana mimba amehtimu masomo ya ualimu wa shule ya msingi... Huko Lindi!
Walpangana aje had Arusha, then bint akafka Dar. Mara akapgiwa cm na mschana ambae hamjuw, yule mchumba akakasrika na kubadili njia, ameenda UDOM kwa bwana mwingne!
Kagoma kuja kwa msela wangu, na mimba yake ya miez minne! Jaman, dunian kuna mambo! Tumempgia cm kacema hawez kuja, tukamwambia huyo mkaka, mimba utafanyaje?!
Kitendawili, wacha tuone wakuu mnasemaje?