vena
JF-Expert Member
- Apr 14, 2011
- 311
- 39
Anaetaka ani- PM, NIMPE NAMBA YA HUYO MDADA NA MME MWIZI
mie nataka na ku PM now subir mwana
Anaetaka ani- PM, NIMPE NAMBA YA HUYO MDADA NA MME MWIZI
Mkuu taratibu bwana, usije kupotosha watu bure hapa. Sema 78% ya watu waliofanya hilo jaribio la DNA, na sio 78% ya watoto wote wa Afrika kama ambavyo kauli yako inaashiria.Asikudangaye mtu anayejua ukweli ni huyo mwanamke.Kumbuka DNA test in Africa has revelled that 78% ya watoto ni wakuchomekeana
Huyo jamaa yako wala asiumie atafute mdada mwingine mbona wengi tu atapata
MJ1 pamoja sana. Unajua inawezekana muda wote huo, huyu jamaa alikuwa analea mimba hewa. Halafu mbaya zaidi kumbe kuna wajanja wengine wanajimegea kiulaiiiiini. Mimi nadhani huyo dada hajapokea simu wala nini, ni kwamba tangu mwanzo alikuwa ana mpango wa kwenda kwa jamaa yake wa dodoma, na hiyo kaizua ili aitumie kama sababu tu. Mtoa mada mwambie jamaa asijisumbue atulie atapata demu mwingine. Afterall wako wengi sana, wengine hadi wanabembeleza.Na kama kweli anayo mimba yenyewe!!
bora huyu mdada kafanya mapema
mimba yawezekana imepelekwa kwa mmiliki halali.
Mkuu taratibu bwana, usije kupotosha watu bure hapa. Sema 78% ya watu waliofanya hilo jaribio la DNA, na sio 78% ya watoto wote wa Afrika kama ambavyo kauli yako inaashiria.
Kulikuwa hakuna mimba inaonekana alimdanganya kuspeed up mambo yake, na huyo msichana aliyempigia ni nani na anahusikaje kwenye suala zimaJamani...
Rafiki yangu kapatwa na sokomoko la mwaka!
Ni hvi, jamaa anasoma Chuo kikuu Arusha na ana mchumba wake ambae wamepanga kuoana miez michache ijayo!
Cha kuskitsha, mchumba wake ambae tayari ana mimba amehtimu masomo ya ualimu wa shule ya msingi... Huko Lindi!
Walpangana aje had Arusha, then bint akafka Dar. Mara akapgiwa cm na mschana ambae hamjuw, yule mchumba akakasrika na kubadili njia, ameenda UDOM kwa bwana mwingne!
Kagoma kuja kwa msela wangu, na mimba yake ya miez minne! Jaman, dunian kuna mambo! Tumempgia cm kacema hawez kuja, tukamwambia huyo mkaka, mimba utafanyaje?!
Kitendawili, wacha tuone wakuu mnasemaje?
Marytina yuko sawa,haiwezekani bint akurupuke tu kwenda kwa mtu huku anaujauzito wamtu mwingine,inawezekana akawa ameenda sehem husika,mwambie jamaa aendele na maisha yake!
Unajua kitakacho mkuta huko DOM???
Nitahitaji update zaidi, Mwanaume hataki demu wa kujileta kwa kuwa Plan A imeshindikana, Kwa hivo Jamaa wa UDOM alikuwa Spare Tyre??
DUh Mademu noma!
Anaetaka ani- PM, NIMPE NAMBA YA HUYO MDADA NA MME MWIZI
dada Merytina, mimba ya huyu mshkaji..100%
dada Merytina, mimba ya huyu mshkaji..100%
Very true.bora huyu mdada kafanya mapema
mimba yawezekana imepelekwa kwa mmiliki halali.
dada Merytina, mimba ya huyu mshkaji..100%