Tukio la kutisha limetokea Lamadi, aliyekufa aonekana akiwa hai...

KakaKiiza Ni kwel na ni huyu member kaletaga ile thread bila ya kukosea kabi na mwenye uwezo wa kupandisha ile thread atupandishie wajamen!

Nchi yetu ni zaidi ya tuijuavyo!


Hi habari imejurudia tena maana nimeiona humu mwezi uliopita!!
 
Last edited by a moderator:
Naamini hii thread ni mimi niliiweka hapa mara ya kwanza live sasa kwa wanaotaka kufahamu zaidi juu ya maisha ndani ya kijiji hiki cha MWABURUGU ambacho yote yaliyogiri amwage maoni hapa tu nitampa personal web.

Kwa uchache kijiji hiki ni maarufu sana kwa kupokea wageni toka ng'ambo pia ni kijiji maskini kuliko vyote na uchawi kipo namba 1 . Kwenye google search MWABURUGU. Au search web hii ya shule pekee kijijini hapa . Home
 
Kwasasa ndugu zangu matukio kama hayo ama ya ajabu zaidi ya hayo ndo mda wake mana kama mnasoma vizuri biblia basi hamtaona ajabu sana. Kumbukeni tukio kama hilo limeripotiwa siku si nyingi huko Mwanza kwa hiyo sina budi kuwaomba watanzania wenzangu kuwa huu ndo mda wa maombi na kuomba kwa imani ya kweli wala si mda tena wa kumbipu Mungu siku za mwisho kama zilivyotabiriwa pamoja na matukio yake nayo ndo mtiririko wake waanza kujipanga ole wako ukutwe hauna kinga ya Bwana YESU utakumbuka ukiwa ndani ya moto wa milele. Tuombeni sana MUNGU ni mwema atatuhurumia na kutushika mikono pamoja kwa upendo na furaha ya milele AMIN.
 
hv yule mwanamama aliyesemekana yupo mochwari lakini yeye kaibukia nyumban imepitaje pitaje? Wenye kuelewa kuhusiana na huu mtafaruku anijuze. Manake sikujua mwisho wake ilikuwaje kuwaje?
 
hv yule mwanamama aliyesemekana yupo mochwari lakini yeye kaibukia nyumban imepitaje pitaje? Wenye kuelewa kuhusiana na huu mtafaruku anijuze. Manake sikujua mwisho wake ilikuwaje kuwaje?

Toa habari kamili; mi ndio nakusikia wewe sijasikia habari hii.
 
Mambo ya lamadi hayo! Umenikumbusha mbali, si alirudi hm kwake na kuomba a nyonyeshe mwanae wa miezi 6. Kisha maiti iliyopo ndani ikapewa huyo mbibi aliyetaka kumgeuza mwenzie msukule!
 
search: TUKIO LA KUTISHA, LIMETOKEA LAMADI, ALIYEKUFA AONEKA AKIWA HAI...
 
Kifo cha mtu kitalaamu siyo moyo, bali ni akili. Kama akili haijafa mtu hajafa. Sisi tunazika wengi tu walio hai. Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuyafufua mashule yetu na kuwasomesha watoto wetu vilivyo kwa vingine tunadanganywa na kuzikana huku CCM ikishamiri kwa ushabiki tu bila weledi.
 
haikua kweli kua alifufuka,yule alie onekana na mama mmoja mwenye ugonjwa wa akili anayeishi bariadi. ilikua hivi,baada ya yule mama kufariki na kukawa na watu wengi hapo nyumbani yule mgonjwa wa akili akaenda hapo coz alijua atapa chakula,na aliingia kwenye chumba cha marehemu akiwa na mwanae,kwakua nyumba haikua na umeme waliomuona wakafikiri ni marehemu lakini ilipofika asubuhi kila wakijaribu kumwangalia hawakua wanafana ndio kutoa taarifa.
Kwa taratibu za kabila la kisukuma yule marehemu walisema kalogwa baada ya kupiga kura na kumwangikia bibi mmoja ambaye walikua wakibishana na marehemu kuhusu mahali pa kuanikia dagaa,hivyo wanaume wakatoa adhabu kwa wanawake kuchimba kaburi na marehemu kuzikwa kukiwa na ulinzi na viongozi wa serikali.
 
Ina maana wewe hujui kama si wote wanaozikwa kwamba wanakuwa wamekufa? wengine huwa wanazindukia mochwari kwenye yale mafreezer.

Hii ni changa moto kwa wale wanaozika mtu masaa mawili baada ya kupoteza fahamu/kuzimia, imagine wamezika watu wangapi hai!!

MH!MH! makubwa!
 
Back
Top Bottom