Damu ya mtu hajawahi kumwacha muuaji bila kuweweseka. Jificheni kwenye ID fake lakini Mungu anawajua mpaka kwa sura atawaumbua tu. Vipropaganda vya kipumbavupumbavu mnadhani vitamsafisha aliyeahidi kuwashughulikia wapinzani wakitoka bungeni? Na Lissu kapigwa risasi akiwa anatoka bungeni. Hakuna utakaso Wa kunawa maji kwenye mikono ya damu. Mikono yenye damu husafishwa kwa toba na ungamo. Mwambieni ajitokeze atubu vinginevyo damu ya Saanane, Roma na Lisu itaendelea kuchuruzika mikononi mwake maisha yake yote.Mwaka 2009 ulikuwa uchaguzi ndani ya Chadema,lakini mwaka mmoja kabla, yaani August 2008 Chacha Zakayo Wangwe alifariki ktk ajali ya gari iliyogubikwa na utata mwingi.
Mwaka 2014 ulikuwa uchaguzi ndani ya Chadema,mwaka 2013 habari zilisambaa kuwa mmoja wa vijana wa Chadema (jina linajulikana) alituhumiwa hadharani kuwa akitumwa kumuwekea Sumu Zitto Kabwe.
Mwaka 2018 ni uchaguzi mkuu ndani ya Chadema, Septemba 2017 Tundu Lissu amepatwa na tukio la kupigwa risasi na watu wasiojulikana.
Haya matukio hayahusiani, ila yote yametokea mwaka mmoja kabla ya mwaka wa uchaguzi ndani ya Chadema. Inavyoonekana mwaka mmoja kabla ya uchaguzi huwa siyo mwaka mzuri sana kwa viongozi wa juu wa Chadema
[HASHTAG]#GetWellSoonTunduLissu[/HASHTAG] [HASHTAG]#LetUsAllPray4Lissu[/HASHTAG]
Magoiga SN
Mkuu inabidi urudie lile somo lako la Karma, haya mambo yapo na sasa ninakukumbuka sana yakitokea.Could be karma at work
P
Kikulacho ki nguoni mwako.Damu ya mtu hajawahi kumwacha muuaji bila kuweweseka. Jificheni kwenye ID fake lakini Mungu anawajua mpaka kwa sura atawaumbua tu. Vipropaganda vya kipumbavupumbavu mnadhani vitamsafisha aliyeahidi kuwashughulikia wapinzani wakitoka bungeni? Na Lissu kapigwa risasi akiwa anatoka bungeni. Hakuna utakaso Wa kunawa maji kwenye mikono ya damu. Mikono yenye damu husafishwa kwa toba na ungamo. Mwambieni ajitokeze atubu vinginevyo damu ya Saanane, Roma na Lisu itaendelea kuchuruzika mikononi mwake maisha yake yote.
ACHA nikae KIMYA...!
tutegemee kusikia na wao ndo wahusika.. mimi naisi ni kikundi kinaitwa wasiojulikana ndo pakujiuliza wanatoa wapi motives za kushambulia watu unless wao na kiongozi wao asiyejulikanawa somali kuna alshabaab, nigeria bokoharam Syria Is, Isl mara al-Qaeda lakini Tanzania tuna kikundi kinaitwa watu wasiojulikana sijui manayake nn? Kila linalotokea ni hao hao wasiojulikana ni aibu kuitwa mwana wa nchi hii!
shkamooo ndugu yangu.. umewaza extramilrMkuu embu fikiri kidogo!! kama wauaji wenyewe ni wale wana toa silaa hadharani kumtishia nape mbele ya umati wa waandishi habari, muuaji kama huyo akili atazitoa wapi? tatizo pupa na viherehere nguvu nyingi pasipo akili.
Na wewe humo humo tu. Inabidi ujitoe ufahamu.Could be karma at work
P
nakusahihisha sio jwa mapenzi yao kaka, infact lisu hawaasili kwa chochote kwenye familia yao au maisha yao binafsi.. kama ni wao bas it is an order japo sijui inatoka kwa nani hiyo orderYaaah na hao ndo hao ninaowaita watu walio kwenye serikali ambao kwa mapenzi yao wamejitoa kulinda mamlaka iliyopo..
Dk Slaa kaikimbia nchi kwa zaidi ya mwaka sababu kubwa ikiwa hofu kwa usalama wa uhai wake.
Unafikiri waliotishia uhai wake ni magufuli na serikali yake?! Think twice.
1+1=2 Ongezea na swahiba zake wa jirani wanvyoshughulikia wasiowapenda jibu =3 najua unaujua ukweli ila unajifanya uonekane critical thinker my take umejificha peupeeee.According to my assumption hausiki. Namna najaribu kumfikiria. Labda nnachoweza kusema ni hicho kikundi cha watu either raia ama watu waliopo kwenye ndani ya serikali ambao wana mapenzi binafsi naye na ambao labda kwa tafsiri zao Tundu Lisu ni threat kwa taifa... Ila sioni kwamba Raisi anahusika.. japo watu almost wengi kwenye mitandao wanafikiri kama wewe.. ila mimi nasema hapana ndo mana sijamtaja.... Mengine Mungu atayafunua siku nyingine kwa namna ya kipekee.
According to my assumption hausiki. Namna najaribu kumfikiria. Labda nnachoweza kusema ni hicho kikundi cha watu either raia ama watu waliopo kwenye ndani ya serikali ambao wana mapenzi binafsi naye na ambao labda kwa tafsiri zao Tundu Lisu ni threat kwa taifa... Ila sioni kwamba Raisi anahusika.. japo watu almost wengi kwenye mitandao wanafikiri kama wewe.. ila mimi nasema hapana ndo mana sijamtaja.... Mengine Mungu atayafunua siku nyingine kwa namna ya kipekee.
Kama unadhani masihara kamuulize mwakyembe.Dr. Slaa kakimbia nchi kuhofia usalama wake? Be serious!
Rudia kusoma utaelewa nilichokiandika. Wala sipo huko unapodhani.. Sijui ningeandikaje unielewe.Km Unalindwa Na Mabwana Wakubw,ujue Laana Haitakuacha Vizazi Vyako Vyote Usijidanganye Kujificha Kwenye Id Fake.
Jaribu kuelewa nilichokiandika mkuu.. Ulivo comment ni kama umeniweka kwenye uhusika wa tukio kitu ambacho sio kweliHii imebuma hii! Mlijiandaa na hii propaganda mkidhani Lissu atakufa. Sasa mmebaki kama kupe mnyonyaji asiyejuwa mabadiliko kwenye maisha ya ng'ombe...Hadi ngozi inawambwa yeye wamo tuu!
This time hakuna hiyo kitu maana Lissu ni mzima. Atarudi na atawatoa nishai. Atawataja tu, coz anawajuwa. Hakuna ambaye angechukulia more serious kama angewataja kabla ya jaribio hili.
Kwahiyo mkuu kwa kifupi single imebuma hii!
Pambaneni tu na hali zenu hakuna jinsi.