THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,751
- 3,306
Hii Yanga ipo siku itakuja ifanye watu wazima wazichape tena Live na camera za Azam tena watu wenye heshima zao kama wachezaji na kocha.
Leo kocha alinyakua chupa akataka kumtwanga nalo mchezaji aliekua anaonekana ana mshutumu kocha kua yanayotokea pale uwanjan kosa ni yeye
Hii imenikumbusha Novemba 5 M-Hussein alimfata kwa Hasira Manula akatka kumzaba kibao ila akadundisha Mpira chin kwa kuutupa kwa Hasira,
Gamond angali namna Zile team hua unazipiga 5 wale wachezaji wanawake na watoto.
#USIUMIE HUJALAZIMISHWA
Leo kocha alinyakua chupa akataka kumtwanga nalo mchezaji aliekua anaonekana ana mshutumu kocha kua yanayotokea pale uwanjan kosa ni yeye
Hii imenikumbusha Novemba 5 M-Hussein alimfata kwa Hasira Manula akatka kumzaba kibao ila akadundisha Mpira chin kwa kuutupa kwa Hasira,
Gamond angali namna Zile team hua unazipiga 5 wale wachezaji wanawake na watoto.
#USIUMIE HUJALAZIMISHWA