Leo kampeni zinaanza baada ya tume kupuliza kipyenga jana kwa kuidhinisha wagombea 8 kati ya 12. Wagombea wataanza kunadi sera zao ili zikiwa na mashiko kwetu wapate ridhaa hapo 25/10.
Watanzania wenzangu tuwe makini sana na sana kwenye hatua hii. Wagombea watupe muda wa kuwauliza maswali ya kutosha. Tuelewe kuwa sera pekee si hoja kwani miaka nenda rudi ccm wamekuja na sera nzuri kwa ajili ya kuingia ikulu na baada ya hapo hali huwa tete zaidi. Mfano angalia hali ya elimu ya sasa, afya, maji n.k
Leo watakuja na hayohayo maana wanafahamu fikafika ndiyo matatizo ya Tanzania. Mikataba mibovu imepita tuhoji, katiba haijapatikana tuhoji, rushwa imekidhiri na baadhi ya wahusika waliovuliwa madaraka kwa kosa la rushwa wamerejea kuwania nafasi mbalimbali hasa kwa ccm akina escrow, EPA,Richmond n.k bila hata kutupa majibu ya tuhuma zao tuhoji.
Raia wengi wamepoteza maisha wakiwa kwenye mikono ya polisi tuhoji, viwanda vimeendelea kufa tuhoji, kilimo jembe la mkono limeendelea tuhoji.
Ajira kwa vijana miundombinu mibovu tuhoji.
Wagombea hatuna haya ya muda mrefu kudikiliza mbwembwe zenu bali tunahitaji muda mrefu wa kuwahoji maswali yetu.
Kama unasema unaboresha elimu kwanini miaka 50 imeendelea kuwa hivi.
Vyombo vya dola walindeni watu kwenye mikutano na msiharibu mikutano maana icc ipo nchini kutazama uchaguzi.
Pia wagombea wa upinzani wasikilizwe kwa umakini mkubwa kwani wao wanaweza kutoa suluhu kwa hali ya nchi ilivyo. Ccm kwa kiasi kikubwa kuna tatizo la mfumo siyo mtu ndiyo maana Prof muhongo anatambulika kimataifa kwa mambo ya technology lakini ameacha nchi gizani
Watanzania wenzangu tuwe makini sana na sana kwenye hatua hii. Wagombea watupe muda wa kuwauliza maswali ya kutosha. Tuelewe kuwa sera pekee si hoja kwani miaka nenda rudi ccm wamekuja na sera nzuri kwa ajili ya kuingia ikulu na baada ya hapo hali huwa tete zaidi. Mfano angalia hali ya elimu ya sasa, afya, maji n.k
Leo watakuja na hayohayo maana wanafahamu fikafika ndiyo matatizo ya Tanzania. Mikataba mibovu imepita tuhoji, katiba haijapatikana tuhoji, rushwa imekidhiri na baadhi ya wahusika waliovuliwa madaraka kwa kosa la rushwa wamerejea kuwania nafasi mbalimbali hasa kwa ccm akina escrow, EPA,Richmond n.k bila hata kutupa majibu ya tuhuma zao tuhoji.
Raia wengi wamepoteza maisha wakiwa kwenye mikono ya polisi tuhoji, viwanda vimeendelea kufa tuhoji, kilimo jembe la mkono limeendelea tuhoji.
Ajira kwa vijana miundombinu mibovu tuhoji.
Wagombea hatuna haya ya muda mrefu kudikiliza mbwembwe zenu bali tunahitaji muda mrefu wa kuwahoji maswali yetu.
Kama unasema unaboresha elimu kwanini miaka 50 imeendelea kuwa hivi.
Vyombo vya dola walindeni watu kwenye mikutano na msiharibu mikutano maana icc ipo nchini kutazama uchaguzi.
Pia wagombea wa upinzani wasikilizwe kwa umakini mkubwa kwani wao wanaweza kutoa suluhu kwa hali ya nchi ilivyo. Ccm kwa kiasi kikubwa kuna tatizo la mfumo siyo mtu ndiyo maana Prof muhongo anatambulika kimataifa kwa mambo ya technology lakini ameacha nchi gizani