Tukikamilisha miradi ya Stiegler's Gorge na SGR pekee. Ona habari hii na fanya hesabu kuhusu sisi kuendelea kukopesheka na utathimini tunaelekea wapi

wakuu huu mradi stiegler's gorge navyojuua mimi ina cost trillion 3 sasa hii mara trillion 6.5 mara 11 trillion ipo vip wakuu mwenye maelezo ya ziada naomba anifadanulie kidogo
 
Yaani Aga Khan amekuwa mkenya tena jamani
 
wakuu huu mradi stiegler's gorge navyojuua mimi ina cost trillion 3 sasa hii mara trillion 6.5 mara 11 trillion ipo vip wakuu mwenye maelezo ya ziada naomba anifadanulie kidogo
Ukiona hivyo ujue kuna upigaji na ndio maana kila siku wanakuja na figure mpya.
 

Ha ha ha haaaaa!
Umenikumbusha kile kibonzo cha jamaa anafikiria namna ya kuziweka kwenye akaunti yake ya benki mapesa mengi anayowaza kichwani mwake!
 
Mkuu Tazara iko hoi sana na kwa kweli inasikitisha maana ile ni mult billion project ambayo ilikuwa msaada mkubwa sana, china amejitahidi mnooooo kuisaidia serikali lakaini haibebeki sometime Tazara inakosa hata mafuta ya kuendeshea train!!!!! na serikali wala haijali am sure hata hii SGR kama serikali isipojipanga sustainability yake itakuwa kaa la moto huko mbele.
 
Nina wasiwasi na mradi wa stiglers gorge kama wazungu wakiukataa kamwe wamisri hawatajenga kwa kuwa misri ni ally(soma stooge) wa marekani litakaloamuliwa washington huwa limetimizwa cairo,riyadh,tel aviv ni hayo tu
 
Kuilipa kwa kasi kwa sasa ni ndoto, miradi haijakamilika na hata ikikamilika itakuwa haizalishi kiasi cha fedha chakutosha kujilipa.
 
Nchii hii bora ipigwe bomu LA nuclear tu tuanze upya.
Si utakuwa marehemu wakati huo. Hasira za mkizi hizi, tena umerishwa matango pori na kigazeti chenye affiliation na Kenya ambaye ni mshindani kwa kila nyanja.
 
Ha ha ha haaaaa!
Umenikumbusha kile kibonzo cha jamaa anafikiria namna ya kuziweka kwenye akaunti yake ya benki mapesa mengi anayowaza kichwani mwake!
Hiyo miradi italeta Pesa kedekede. Nafikiri Tanzania itajisajiri Paris club kama donner country. Hatutashindwa kuwasaidia vinchi kama Fiji, Timor hata Lethotho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…