Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,146
- 3,791
1. Kuwe na sera moja ya Uchumi hasa wa viwanda.
2. Thamani ya fedha,iwe moja (iliwahi kuwa hivyo kabla ya uhuru).
3. Kuwe na katiba moja,rais mmoja, nchi wanachama ziongozwe na mawaziri wakuu.
4. Vyama vya siasa viwe na sura ya kijumuiya (mfano kama ilivyo Tz bara na Visiwani).
Kwa uelewa wangu,haya ni kati ya mambo ambayo yakifanyika,jumuiya yetu itakuwa imara.
Nimeangalia kwa umakini,ziara, mikutano ,mahusiano na hoja na hotuba za viongozi wetu wakuu, naona bado kuna hatari ya kutokea yale yale ya 1977.
Kuna migawanyiko inaanza kujitokeza kwa kasi.
2. Thamani ya fedha,iwe moja (iliwahi kuwa hivyo kabla ya uhuru).
3. Kuwe na katiba moja,rais mmoja, nchi wanachama ziongozwe na mawaziri wakuu.
4. Vyama vya siasa viwe na sura ya kijumuiya (mfano kama ilivyo Tz bara na Visiwani).
Kwa uelewa wangu,haya ni kati ya mambo ambayo yakifanyika,jumuiya yetu itakuwa imara.
Nimeangalia kwa umakini,ziara, mikutano ,mahusiano na hoja na hotuba za viongozi wetu wakuu, naona bado kuna hatari ya kutokea yale yale ya 1977.
Kuna migawanyiko inaanza kujitokeza kwa kasi.