new level
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 269
- 567
Habari wana JF niende kwenye mada
Wengi wetu tumekua kwenye uhusiano wakimapenzi kwa nyakati tofauti tofauti licha yakua na mausiano nama binti kadhaa kwa nyakati tofauti nimegundua Kuna shida mahali ..
Vijana wengi wamekua wapweke licha ya kua kwenye mausiano yakimapenzi..
MAPENZI NI NINI?
Unakuta mtu anampenzi wake Ila awajawai ku hangout pamoja awajawai kufanya kitu chochote pamoja ukiachana na ku sex na kuchat kwenye sim.
Your girlfriend/ boyfriend must be your homie
Ichi nikitu ambacho wa Africa wengi hatufanyi .. nakumbuka nilipokua o level Kuna kipindi nilikuwa sihudhurii shule kwa hufasaa kunadem wakaamia mtaani kwetu ambapo alikuwa anasoma shule iyo iyo ninayo somea Mimi tukazoeana nikajikuta naanza kumpenda nakumbuka sikuwai Tena kunyali shule nilikuwa na enjoy sana kuongozana nae shuleni so uwezo wangu wa shuleni uliimarika Sana .
Sasa shida ninayo iyona kwenye swala zima la mapenzi watu wengi wamekua wapweke no matter how many girls u got my n*ga Yani kunakua hakuna zile good moments baina yako na manzi si hua mnafuraia tamthilia Zaki Philippino ? naku wanadi kwamba wanajua sana mapenzi movements zao mnazionaga right ? hua nikama njiwa yani utaskia mlango unagongwa konkonko
Mom: hey Christine your boyfriend is here
Girl: hey come on in what's up
Boy : am here to pick you up I wanna take a walk with u maybe we should go to library or some , what do you think ?
Girl :hooh yeah Sure gimme one minute
Hayo ndo mapenzi ukitoka job chukua time pigeni story pamoja somewhere enjoini kwa pamoja demu ukiwa unaenda town usiende na shosti wako mpigie sim mpenzi wako mwambie ..hey nisindikize town... ile moment mtakayoipata huko town itaimarisha kumbukumbu ya mausiano yenu siku nyingine akienda town bila wew ata miss vitu vingi tu kuusu wewe akifika mahali fulani mlio pita atakumbuka tulipofika apa niliongea kitu fulan akatabasam that's love
Mkifanya ivyo sehem tofauti tofauti Yani hospital mtaani tu magetoni kwenye michezo kwenye shows mtakua mmetengeneza bond ambayo sio raisi kufutika that's love .. sio lazima kila siku mue pamoja ila walau Mara 3 kwa wiki mfanye ivyo mbona wazungu hufanya ? Au tunaoneana aibu au tunaofia kujidhibia ridhiki ? Kwamba atuwezi pata madem wengine ?
Mapenzi yakibongo utasikia morning, mchana mwema, usiku mwema , weekend uje bas baby , mhh tutaangalia my af my ninashida ya buk 10k .. poa my nitakutumia .. this sh*t after 3 months lazima awa watu wa break up ..
YOUR GIRLFRIEND/ BOYFRIEND MUST BE YOUR HOMIE EVEN YOUR WIFE/ HUSBAND
mke wako ndo mchizi wako demu wako ndo mchizi wako .
NB: better Wear a condom and be a Hustler . Kwenu wakuu.
Wengi wetu tumekua kwenye uhusiano wakimapenzi kwa nyakati tofauti tofauti licha yakua na mausiano nama binti kadhaa kwa nyakati tofauti nimegundua Kuna shida mahali ..
Vijana wengi wamekua wapweke licha ya kua kwenye mausiano yakimapenzi..
MAPENZI NI NINI?
Unakuta mtu anampenzi wake Ila awajawai ku hangout pamoja awajawai kufanya kitu chochote pamoja ukiachana na ku sex na kuchat kwenye sim.
Your girlfriend/ boyfriend must be your homie
Ichi nikitu ambacho wa Africa wengi hatufanyi .. nakumbuka nilipokua o level Kuna kipindi nilikuwa sihudhurii shule kwa hufasaa kunadem wakaamia mtaani kwetu ambapo alikuwa anasoma shule iyo iyo ninayo somea Mimi tukazoeana nikajikuta naanza kumpenda nakumbuka sikuwai Tena kunyali shule nilikuwa na enjoy sana kuongozana nae shuleni so uwezo wangu wa shuleni uliimarika Sana .
Sasa shida ninayo iyona kwenye swala zima la mapenzi watu wengi wamekua wapweke no matter how many girls u got my n*ga Yani kunakua hakuna zile good moments baina yako na manzi si hua mnafuraia tamthilia Zaki Philippino ? naku wanadi kwamba wanajua sana mapenzi movements zao mnazionaga right ? hua nikama njiwa yani utaskia mlango unagongwa konkonko
Mom: hey Christine your boyfriend is here
Girl: hey come on in what's up
Boy : am here to pick you up I wanna take a walk with u maybe we should go to library or some , what do you think ?
Girl :hooh yeah Sure gimme one minute
Hayo ndo mapenzi ukitoka job chukua time pigeni story pamoja somewhere enjoini kwa pamoja demu ukiwa unaenda town usiende na shosti wako mpigie sim mpenzi wako mwambie ..hey nisindikize town... ile moment mtakayoipata huko town itaimarisha kumbukumbu ya mausiano yenu siku nyingine akienda town bila wew ata miss vitu vingi tu kuusu wewe akifika mahali fulani mlio pita atakumbuka tulipofika apa niliongea kitu fulan akatabasam that's love
Mkifanya ivyo sehem tofauti tofauti Yani hospital mtaani tu magetoni kwenye michezo kwenye shows mtakua mmetengeneza bond ambayo sio raisi kufutika that's love .. sio lazima kila siku mue pamoja ila walau Mara 3 kwa wiki mfanye ivyo mbona wazungu hufanya ? Au tunaoneana aibu au tunaofia kujidhibia ridhiki ? Kwamba atuwezi pata madem wengine ?
Mapenzi yakibongo utasikia morning, mchana mwema, usiku mwema , weekend uje bas baby , mhh tutaangalia my af my ninashida ya buk 10k .. poa my nitakutumia .. this sh*t after 3 months lazima awa watu wa break up ..
YOUR GIRLFRIEND/ BOYFRIEND MUST BE YOUR HOMIE EVEN YOUR WIFE/ HUSBAND
mke wako ndo mchizi wako demu wako ndo mchizi wako .
NB: better Wear a condom and be a Hustler . Kwenu wakuu.