Tukatae tukubali kuna wanawake warembo jamani

Tukatae tukubali kuna wanawake warembo jamani

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,237
Yaani wapo jamani Mungu kawapendelea ni warembo hata wanawake wenzao wanawakubali yaani kuanzia sura, kifuani,kiunoni, hips, huko nyuma, guu.

Mimi nimeona niwaeleze hayo, mwenye picha ya mfano wekeni.
 
Yaani wapo jamani mungu kawapendelea ni warembo hata wanawake wenzao wanawakubali yaani kuanzia sura,kifuani,kiunoni,hips,huko nyumanju,guu .mm nimeona niwaeleze hayo.mwenye picha ya mfano wekeni

Anza wewe aliye kichwani mwako.
 
Mi nilijua stor tu Kumbe kweli wapo!!tunashukuru kwa taarifa
 
Hilo...halina ubishi. ILa hao warembo sana ukiwataka ...ili awe wako...usiwe na presha/ usiwe na hasira coz utazeeka fasta, usiwe na gubu..utakufa kihoro bana. Wew furahia unapomuona, unapomgegeda, ukiwa mbali naye usiwaze kumegewa.

Hapo life yako itakuwa flexh. Tena usiichubguze cm yake, na kama ni sekretary ....ama mhasibu, baaasi ndg yangu kuwa mpoooleee kabisa...Maana utakuwa umeelewa kwambaa, MCHOYO HANA RAFKI....NA KIZURI...KULA NA WENZIO. Mshukuru Mungu kwa yoteeee.
 
Aisee kuna ambaye nimekutana nae leo mbagala zakhem...duh ni balaaa mtoto hana kasoro. ila na uswahilini wapo wa ukweli sema vicheche!
 
Aisee kuna ambaye nimekutana nae leo mbagala zakhem...duh ni balaaa mtoto hana kasoro. ila na uswahilini wapo wa ukweli sema vicheche!

Hebu oneni hilo toto kweli wameumbika bana.tusibishe tuuu?
 

Attachments

  • 1420914637094.jpg
    1420914637094.jpg
    41 KB · Views: 3,861
Back
Top Bottom