Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,072
Labda uwe na card ya mboga mboga, yaani utaruhusiwa tu iwapo msimamizi kajiridhisha huyu wakwetuKapige kura ya urais kuna fomu utapewa unajaza unapiga. Ila utopiga ya ubunge na udiwani


Labda uwe na card ya mboga mboga, yaani utaruhusiwa tu iwapo msimamizi kajiridhisha huyu wakwetuKapige kura ya urais kuna fomu utapewa unajaza unapiga. Ila utopiga ya ubunge na udiwani


Very easy niweke kwenye ignore list yako hutaona thread yangu Wala post yangu yoyote hivyo tu.Hakuna mtu anayetaka kukujadili wewe,ujadiliwe kwa lipi hasa? unashauriwa tu kua uache kuharibu thd za hapa JF,watu wanajadili vitu serious unaingiza utoto?kaa chini jitafakari kisha jihurumie halafu badilika,ukishindwa anzisha thd yako special yakua unaandika hivyo vituko.
Acha kukomaza fuvu,issue ni wewe kuharibu thd za JF na sio mimi kutokuona post zako,kwani nikikuweka kwenye ignore list ndio itakua solution ya ww kuacha huo utoto?Very easy niweke kwenye ignore list yako hutaona thread yangu Wala post yangu yoyote hivyo tu
Mkuu barehe inanisumbua nikikua nitaacha. Kajadili thread huko.Acha kukomaza fuvu,issue ni wewe kuharibu thd za JF na sio mimi kutokuona post zako,kwani nikikuweka kwenye ignore list ndio itakua solution ya ww kuacha huo utoto?
Nilishapiga,nimemchinja kibaraka wa mabeberu ili aende zake ubeligiji salama.Habari Jamii, Ombi langu ni kuwa tukapige kura asilimia kubwa ya vijana huwa wanalalamika lakini, hawapigi kura, tukapige kura?
Nimefarijika kukuta idadi ya vijana na wanafunzi ni ku
Kila ninapowaona "Wanafunzi" natamani niwaeleze adha ya 15% ya boom la HESLB. Ninatamani niwaeleze kuwa kuna mgombea ambaye ameona adha hiyo. Ninatamani saaana. Makato ya 15% katika mishahara kiduchu + kodi + N.S.S.F + Mikopo mingine + matumizi = 0Nimefarijika kukuta idadi ya vijana na wanafunzi ni kubwa kituoni.
Sawa mkuuMkuu mtu tayari anamajibu Sasa kwanini ananidis!! Vipo vitu vingi mno vya kuhangaika maisha lkn si hivi vya kumwambia mtu nimekuhamu kwenye thread!… Kwangu hicho ni kituko Cha ajabu kweli huezi poteza muda wako kuja kumjadili kenzy kwa kuwaambia watu anawahamu yapo ya maana mengi mno ya kufanya Bora mtu akasome hata vitabu huko vipo vingi mno. Wao ndo wanahitaji ushauri..😂
Mpaka nimeshangaa Kwa umri ule maana ni dhahiri anaonyesha ndiyo mara yake ya kwanza kupiga kura.
Eti nimechinja.
Nimekuelewa mkuuLabda uwe na card ya mboga mboga, yaani utaruhusiwa tu iwapo msimamizi kajiridhisha huyu wakwetu![]()