Tukapige kura

Tukapige kura

Hakuna mtu anayetaka kukujadili wewe,ujadiliwe kwa lipi hasa? unashauriwa tu kua uache kuharibu thd za hapa JF,watu wanajadili vitu serious unaingiza utoto?kaa chini jitafakari kisha jihurumie halafu badilika,ukishindwa anzisha thd yako special yakua unaandika hivyo vituko.
Very easy niweke kwenye ignore list yako hutaona thread yangu Wala post yangu yoyote hivyo tu.
 
Acha kukomaza fuvu,issue ni wewe kuharibu thd za JF na sio mimi kutokuona post zako,kwani nikikuweka kwenye ignore list ndio itakua solution ya ww kuacha huo utoto?
Mkuu barehe inanisumbua nikikua nitaacha. Kajadili thread huko.
 
Habari Jamii, Ombi langu ni kuwa tukapige kura asilimia kubwa ya vijana huwa wanalalamika lakini, hawapigi kura, tukapige kura?
Nilishapiga,nimemchinja kibaraka wa mabeberu ili aende zake ubeligiji salama.

IMG_20201028_084726_3~3.jpg
 
Nimefarijika kukuta idadi ya vijana na wanafunzi ni ku

Nimefarijika kukuta idadi ya vijana na wanafunzi ni kubwa kituoni.
Kila ninapowaona "Wanafunzi" natamani niwaeleze adha ya 15% ya boom la HESLB. Ninatamani niwaeleze kuwa kuna mgombea ambaye ameona adha hiyo. Ninatamani saaana. Makato ya 15% katika mishahara kiduchu + kodi + N.S.S.F + Mikopo mingine + matumizi = 0
 
Mkuu mtu tayari anamajibu Sasa kwanini ananidis!! Vipo vitu vingi mno vya kuhangaika maisha lkn si hivi vya kumwambia mtu nimekuhamu kwenye thread!… Kwangu hicho ni kituko Cha ajabu kweli huezi poteza muda wako kuja kumjadili kenzy kwa kuwaambia watu anawahamu yapo ya maana mengi mno ya kufanya Bora mtu akasome hata vitabu huko vipo vingi mno. Wao ndo wanahitaji ushauri..😂
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom