tukalkuleti kidogo

<br />
<br />
Hapana,math haija-fail hapa.Huyu bado anadaiwa sh.980,kama wamemkalia kooni kulipa deni,auze lile shati(sh.970) then aongezee na ile sh.10 aliyonayo mkononi atapata jumla ya sh.980 anayodaiwa,hakuna kilichopotea hapa!

kaka wasipomkalia kooni inamaana math ina fail isn't it?
 
aisee ni kweli, nimejaribu kufanya practically imekubali.sh 10 zinayeyuka kabisaaa... ukichukua 485 + 10 = 495 x2 = 990.
mi naona yule mfanyabiashara anapesa chafu...ngopela
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…