Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Kama Unapenda ya harufu ambayo ukipita mtu aiskie ni magnetic na kama unapendelea ile haruf ambayo wataoiskia ni wale utaokaa nao karib chukua mousuf(hii inakaa masaa mengi kweny nguo)
Mkuu Blue 4Men umeitoa kwenye list yako ya perfumes zenye kiwango?

Nashindwa kuiacha nimekuwa najaribu nyengine nyengine ila sipewi sifa za nikitumia Blue,au napigwaga famba?
 
Perfume ni uchawi wa ajabu sana. Ukivaa perfume ya ukweli ata kama mifuko ni mitupu utaonekana unatilikika pesa mifukon. Washikaji watakuheshimu mademu watakuzimia na wengine kukufia ata kama sio handsome.

Unataka pafyumu za kibepari zisizo na kelele, cheki hizi hapa

Encounter by Calvin Klein

A Men by Thierry Mugler

Polo blue by Ralph Lauren

Polo Red by Ralph Lauren

Lacoste Noir

Artisan by John Varvatos

Hizi ni balaa tupu achana na cologne za kibongo fleva hizi unakuwa Don, sumaku ya kina dada.. Yani mtu akikusogelea anaona mapesa tu kwako.
Nimepita kwenye uzi huu nikakutana na hii recommend yako. Hapa nakumbuka nilibahatika kudaka Polo Red ndio since then sijawahi kuiacha hadi leo. Umetisha sana mkuu
 
Kali sana
images%20(20).jpg
 
Back
Top Bottom