Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,924
- 122,195
Alikununulia?Uninunulie moja dadake
Aina ipi nzuri uliyowahi kutumia na mimi nijitose
Alikununulia?Uninunulie moja dadake
Bei?Nikiwa na hizi kitu, najiona swafi kabisa
View attachment 783376 View attachment 783377 View attachment 783379 View attachment 783380 View attachment 783381
View attachment 360643
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia!!
Mimi natumia Knowledge Perfume,
Ww jee?
Udv niliitumiaga miaka tisa iliyopita niliiacha sababu inaharufu kali yaani ukiipaka ukaingia sehemu kilamtu anaisikia
Napenda harufu BARIDI
Wengine kwenye duty free shops, zilizopo AirportsBei zinatofautiana. Wengine wananunua ulaya, wengine US wengine mlimani city etc.
Kifupi zenye majina OG bei ni kuanzia 100,000<<<<
Anaeweza kukunusa ni mwingine sio wewe mwenyewe utakua biased umejizoeaMi situmii peefume yoyote... Mwili wangu hautoi harufu kabisa kama maji meupe sijui kwa nn. Naweza kupitisha hata siku sijakoga..
Sky Eclat nimeona jina lako hapo kwa moja ya perfumeNikiwa na hizi kitu, najiona swafi kabisa
View attachment 783376 View attachment 783377 View attachment 783379 View attachment 783380 View attachment 783381
Unajijua utafika hio mwakanView attachment 791529mzigo wa kunivusha mpaka mwakani panapo majaaliwa.