simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 378
View attachment 360643
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia!!
Mimi natumia Knowledge Perfume,
Ww jee?
Kourous
View attachment 360643
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia!!
Mimi natumia Knowledge Perfume,
Ww jee?
Ni nzuri?Hiii kitu balaaa... Sema imeadimika mkuu kama wajua mahali ipo kwasasa ni juze... Wachana na ile feki
hii kitu iko poaKourous
aisee vitu adimuView attachment 701946 View attachment 701947
Wwkeni na picha,siyo mnagoogle majina alafu mnatupiga sound..
Zangu hizo hizi hapa.
One million=230,000/=
Scent of Africa for men=110,000/=
Sure mkuu,kuna watu wanaleta maneno maneno yao tu bila picha!!aisee vitu adimu
mkuu ila zako bei mkasi,Sure mkuu,kuna watu wanaleta maneno maneno yao tu bila picha!!
Mkuu ata kama mtu anatumia ya buku 10,000 picha muhimu sana kaka!!siyo mtu anasema anatumia Cobra lakini ata picha haweki bhana!!mkuu ila zako bei mkasi,
Mkuu hii nilinunua 59,000 kwa rate ya change ya mwaka jana,nilichukulia Dubai pale pale airportmkuu ila zako bei mkasi,
aiseee mkuu, we mkali wa hizi mambo,, nipe moja matata ya bei isiyozidi 30000, vyuma baba vimepasuka ujueMkuu hii nilinunua 59,000 kwa rate ya change ya mwaka jana,nilichukulia Dubai pale pale airport
View attachment 701976