Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Kuna ule uturi wanauzaga nje ya misikiti, unapaka kidogo mzigo unaweza ukakaa kwenye nguo hata miezi 6
 
IMG-20180227-WA0003.jpg
IMG-20180227-WA0004.jpg

Wwkeni na picha,siyo mnagoogle majina alafu mnatupiga sound..
Zangu hizo hizi hapa.
One million=230,000/=
Scent of Africa for men=110,000/=
 
Back
Top Bottom