Endelea kunuka
Tsh 38000/= inategemea duka na duka hadi 35inauzwaje dukani?
I'm here am not going anywhereOkay...I see ya.
But I'll be back....
awesome...........
hayaCologne ndio upaka wanaume...mimi wangu ni mtu wa creed.... ni uwiiiii moja ya hakunaga.
Mimi natumia AXE but kuna perfume moja nilipewaga zawad na mtu wa ujeruman inaitwa VANITAS, ni balaa, yan had ofisin walijua kama nimespray something new n waliipenda, pia hata ukiifua nguo wakati wa kunyosha kile kiharufu chaja, unfortunately sijawahi kubahatika kuipata madukani hapa dar licha ya kuuitafuta sana na huyo wa ughaibun kasharudi bongo, please kama kuna mtu anaifahamu au anajua inapopatikana please let me know, I am ready to buy at any price less than 150k.Miyaki
Sijawah rudia bodyspray nimetumia nyingi sana hata kuorodhesha sitaweza
Nitumie harufu yake ili nimnunulie mama watotoMiyaki