Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Hii ni hatari ukijipulizia inakaa hata ukifua inabaki..nachumba pia hunukia hauna haja ya airfresher

Anaeweza nijuza taupata wapi hapa DSM binafsi nishautafuta saana bila mafanikio.....

nliupokea kama zawadi toka U.A.E
20191103_162653.jpg
 
Nimewai tumia 3A iko very fresh kama sabuni.sema inanukia poa sana.Tatizo nilikua naskia koo kavu nikitumia ila ni nzuri.Nimejaribu pia 4A(it's my choice)sema ni ovyo kabisa haidumu zaidi ya masaa4.Yuko na products nyingi sijapata nafasi ya kujaribu zote.Anyway napenda colony sana tatizo nahisi zimenipa aleji
Ipi ndo best choice kwako chief
 
Hii kitu imewai nipa compliment kama zote.Nimeitafuta tena mji mzima sijawai ipata
20191109_222635.jpeg
 
Kuna bi. dada ndio product zake.zinaitwa KIM.katengeneza clone za manukato zenye majina makubwa akazipa code.Mfano 4A ni clone ya aventus.Sijawai tumia aventus so siwezi thibitisha kama zinakaribiana ila nimetumia club nuit intenso by armaf zinakaribiana kwa mbali sana.Nahisi nimejitahidi kukuelewesha
Hizo sijui 3A mara 4 A ndo nini?
 
Mara nying wale hawatumii perfume wanajifukiza udi zle zna arufu nzur Yan inakaa mda mrefu sna hata ukifua nguo bado utaisikia pia mbali na kujigukiza zpo za kufulia kweny nguo
Kuna dada wa kiarabu niligusana naye kwenye daladala. Perfume yake imebaki kwa siku 3 mfululizo. Hawa watu wanatoa wapi hizo perfume zao?
 
fake unakuta kuna kitu wanaongezea ili iweze kutoa ujazo zaidi ambapo itawaletea faida, original hawaidilute na chochote, yah mi naviziaga syrian exhibition diamond jubilee pale ndio nanunuaga
Ulijua je in feki wakati INA last. Itafyte inayouzwa na wale jamaa wa kutoka Syria hutojuta 30k na unatoka droo na alienunua 360k
 
fake unakuta kuna kitu wanaongezea ili iweze kutoa ujazo zaidi ambapo itawaletea faida, original hawaidilute na chochote, yah mi naviziaga syrian exhibition diamond jubilee pale ndio nanunuaga
🤣 🤣 Syrian Exhibition ndio pahala pangu pakujidai yaani huwa nanunua za mwaka mzima. ile ya mwezi wa nne ilinipita nikaumia sana alafu mbaya zaidi ndio nilikuwa nimegawa stock niliyo kuwa nayo. uzuri saa hizi wamefungua duka pale mlimani, sina hakika kama zina ubora kama ule ule.
 
Back
Top Bottom