Tujulishane hapa wanasiasa wachumia tumbo

Tujulishane hapa wanasiasa wachumia tumbo

Uvccm wote na Bavicha wote , wanafanya siasa ili mkono uende kinywani
 
Nina wasi wasi sana na Mbowe, Lipumba na Makonda

Mbowe kwasababu hana dhamira ya dhati kuongoza nchi Bali yupo kupiga pesa kivyvyote itakavyowezekana. Mfano kumuuzia Lowasa nafasi ya kugombea urais.
Kung'ang'ania uenyekiti na huku akilazimisha kuchaguliwa kwa viongozi watamuunga mkono ili azidi kupiga pesa za luzuku.
Mkwepa kodi Mkubwa.

Kuhusu Lipumba ni kukubali kutumiwa na ccm kuivuruga cuf.

Makonda..kuchongea wenzie iliaonekane ni mchapa kazi..mfano alivyomchongea marehem Kabwe.
 
Nina wasi wasi sana na Mbowe, Lipumba na Makonda

Mbowe kwasababu hana dhamira ya dhati kuongoza nchi Bali yupo kupiga pesa kivyvyote itakavyowezekana. Mfano kumuuzia Lowasa nafasi ya kugombea urais.
Kung'ang'ania uenyekiti na huku akilazimisha kuchaguliwa kwa viongozi watamuunga mkono ili azidi kupiga pesa za luzuku.
Mkwepa kodi Mkubwa.

Kuhusu Lipumba ni kukubali kutumiwa na ccm kuivuruga cuf.

Makonda..kuchongea wenzie iliaonekane ni mchapa kazi..mfano alivyomchongea marehem Kabwe.
Mbona uko moto sana mkuu talatibu bas
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom