MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,293
- 39,975
- Thread starter
- #21
Tuma location au namba ya simu tuonane. Nitakujibu maswali yako.Kujiita mamasamia dume zima hapo sio chawa wa mama? Au wanakukoboa?
Tuma location au namba ya simu tuonane. Nitakujibu maswali yako.Kujiita mamasamia dume zima hapo sio chawa wa mama? Au wanakukoboa?
Kwa nini nisikuulize? Wewe si mwanaume na huenda una mke na watoto wanakuita baba, so why ujiite mamasamia?”Tukikutana uso kwa uso unaweza kuniuliza hivyo?
Wee ni muongo, nani hakujui ni Chawa wa Veggies, tena kindaki ndaki.Mimi ni msomi mjasiriamali ninayeridhika na vipato vyangu. Sijawahi kulipwa na chama kwenye lolote.
Weka namba hapa nikupigieTuma location au namba ya simu tuonane. Nitakujibu maswali yako.
Mbona kwa miaka mingi nimekuwa nikidhani una akili timamu?! Nini kimekupata?Wee ni muongo, nani hakujui ni Chawa wa Veggies, tena kindaki ndaki.
😂😂😂😂😂 kwani imekuaje mbona ghafla sanaa?
Kulikonii?? 😂😂😂😂😂
Ndiyo maana Mimi hapa JF Huwa simIgnore mtu,Hadi wewe umesanuka?? Kweli tumefikia patamu.
Wallah kila mtu atafikiwa, tuwe wapolee.
😂😂😂😂
Uko sahihi mkuuKuna majibu yakitolewa na katibu mwenezi wa CCM inaeleweka ila sio mtaalam wa BOT.
Chawa hajapata Ganji kwenye mauzo ya dhahabu.😂😂😂😂😂 aiseee utulie, mbona hapo hujasema??
Buku 7 zile ndo malipo yake hayo, 😂😂😂😂
Huyo mbona mapema tu alishakataa hayo mauzo, round hii machawa wanataka gawio liongezeke.ChoiceVariable chawa mwenzio kagoma kushikiwa akili huku.
Hakuna mwana ccm mwenye akili timamu ya kuweza kujibu hoja . Wanachoweza wao ni kuiba kura Kisha kuua watu na kusingizia wengineBinafsi sina tatizo na dhahabu kuuzwa ili kujenga miundombinu ila hayo majibu kuwa imeuzwa ili kusawazisha mizania hayajakaa sawa.
Mkuu achana na haoTukikutana uso kwa uso unaweza kuniuliza hivyo?
Mbowe mliyemuita gaidi amekuwa mwenye akili Leo?Mkuu achana na hao
Unajua mbowe alivyoondka chadema aliondoka na akili zao
Washauri wetu kuna Mgalu wa Bagamoyo na kuna walindi, sijui ni graduates WA wapi"Ameeleza kuwa kinachotekelezwa ni mpango wa kuuza dhahabu iliyozidi kiwango kilichoidhinishwa, kwa lengo la kusawazisha mizania ya hifadhi ya dhahabu ya benki hiyo"
Nimeandika huu uzi baada ya kusoma hayo majibu ya BOT kuhusu kuuza dhahabu. Kiukweli hili ni jibu la kipropaganda toka kwa mtaalamu wa BOT. Hiyo mizania ya kazi gani kwenye nchi ambayo bado inajitafuta? Yaani sisi Tanzania tukishakuwa na dhahabu ya $2b hatutaki tena zingine? Binafsi sina tatizo dhahabu kadhaa kuuzwa ili kujenga miundombinu ila haya majibu kuwa imeuzwa ili kusawazisha mizania sikubaliani nayo.
Niikumbushe serikali yangu ya chama pendwa CCM ni kuwa kwa sasa wasomi wapo kila sehemu kwenye kila sekta. Mwaka 2018 kwenye mgahawa wangu jijini Dsm dada aliyekuwa anaandaa vitafunwa alikuwa ni graduate Bcom from UDSM (UDBS). Kwenye vijiwe vya bodaboda, site za ujenzi, mashambani, uvuvi na sehemu zingine zote zilizoonekana kuwa sio kwa wasomi kwa sasa zimejaa graduates. Kuwajibu kisiasa ni kuzidi kuharibu image ya serikali.
Nilishangaa hivi karibuni huko Facebook kwenye page ya madereva wa malori yanayosafiri nchi jirani wanachambua sheria mpya ya uhamiaji nchini Zambia ambayo itakuwa kero kwa truck drivers. Yaani huwezi amini jamaa wameandika barua kwenda SADC kupinga hiyo sheria. Kimsingi wasomi kwa sasa wapo kila sehemu.
"Ameeleza kuwa kinachotekelezwa ni mpango wa kuuza dhahabu iliyozidi kiwango kilichoidhinishwa, kwa lengo la kusawazisha mizania ya hifadhi ya dhahabu ya benki hiyo"
Nimeandika huu uzi baada ya kusoma hayo majibu ya BOT kuhusu kuuza dhahabu. Kiukweli hili ni jibu la kipropaganda toka kwa mtaalamu wa BOT. Hiyo mizania ya kazi gani kwenye nchi ambayo bado inajitafuta? Yaani sisi Tanzania tukishakuwa na dhahabu ya $2b hatutaki tena zingine? Binafsi sina tatizo dhahabu kadhaa kuuzwa ili kujenga miundombinu ila haya majibu kuwa imeuzwa ili kusawazisha mizania sikubaliani nayo.
Niikumbushe serikali yangu ya chama pendwa CCM ni kuwa kwa sasa wasomi wapo kila sehemu kwenye kila sekta. Mwaka 2018 kwenye mgahawa wangu jijini Dsm dada aliyekuwa anaandaa vitafunwa alikuwa ni graduate Bcom from UDSM (UDBS). Kwenye vijiwe vya bodaboda, site za ujenzi, mashambani, uvuvi na sehemu zingine zote zilizoonekana kuwa sio kwa wasomi kwa sasa zimejaa graduates. Kuwajibu kisiasa ni kuzidi kuharibu image ya serikali.
Nilishangaa hivi karibuni huko Facebook kwenye page ya madereva wa malori yanayosafiri nchi jirani wanachambua sheria mpya ya uhamiaji nchini Zambia ambayo itakuwa kero kwa truck drivers. Yaani huwezi amini jamaa wameandika barua kwenda SADC kupinga hiyo sheria. Kimsingi wasomi kwa sasa wapo kila sehemu.
Majibu mepesi, kwenye mambo mazito ya nchiTafakuri yangu baada ya kumsikia yule kiongozi wa Benki Kuu
Dhahabu imeuzwa kwa ajili ya reserve manajimenti (balance sheet ya akiba) ili kuweka Sawa kiwango cha dhahabu veza vi fedha za kigeni.
Mfano mdogo
Kama akiba ya nyumbani kwako ni mchele, mahindi na maharagwe. Na wewe unadunduliza akiba hiyo, sasa Ukizidisha Sana mchele(dhahabu) kuna hatari utaipata ya kifedha, mfano akiba ya dhahabu haina riba imekaa Tu mpaka utakapoiuza. Pia ipo hatari ya bei kushuka.
Kupungunza hatari hizo, wameuza sehemu kidogo ya akiba ya dhahabu na fedha hizo kama Benki Kuu zingine zinawekezwa kwenye dhamana za nje kama sehemu pia ya akiba na mapato yake kuongeza akiba.
Kinyumbani akiba nyingi ya mchele pia inaweza haribika, kushuka bei na kadhalika. La misingi kuweka uwiano wa akiba zako, chungu kimoja kisiwe na aina moja kwa wingi.
BIla ya Shaka hii haizuii Benki Kuu ya Tanzania kuendelea na ununuzi wa dhahabu kuongeza akiba, na bilashaka watauza sehemu inayozidi kubalansi uwiano wa aina za akiba nyingine kwenye kibubu cha Taifa.
Sasa Hilo la kuuza dhahabu kugharamia miundombinu halijafanyika, kwani fedha yoyote ya ziada lazima ipite na kuidhinishwa na Bunge.
Serikali ikiagiza azimio Hilo litapelekwa bungeni, labda ipigwe kimya kimya ambalo litakuwa uvunjifu wa taratibu. Na tutaimba Mkulima Kala Mbegu anataka kutuua njaa.
Kwa hili nawasikiliza wataalam, likifika huko bungeni kuomba fedha hizo za akiba utakuwa story mingine
Bongeni Baba levo kaongeza idadi ya wabonge la Saba akijumuika na bobi Tele, musukuma na kibajazaKwenye Bodaboda na vibanda vya M-Pesa wasomi ni wengi wenye Bachelor Degree