barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
- Thread starter
- #241
Ha ha ha ha umenchekesha sanaThamani ya almasi imekuzwa mno.
Kifupi almasi ni carbon tu.
Ukichukuwa mkaa ukaweka kwenye mgandamizo mkubwa na joto kali unapata almasi.
Almasi haina thamani kama watu wanavyodanganywa.
Pia si haba kushinda tanzanite au Ruby.
Almasi inatengenezwa hata laboratory. Na quality ni ile ile.
Hawa De Beers wahuni sana hawa.
Yani wamefanikiwa kuihadaa dunia kuhusu thamani ya almasi.
Nashangaa baadhi ya wenzi wanaotaka kuoana wanakwangua account zao kisa wapate kipande cha "mkaa" kwaajili ya pete ya ndoa.
Bora ununue Tanzanite, 1000 times rare than diamond.