sisi taarifa ya habari na matangazo ya vifo tuliruhusiwa kusikilizia kwa mjumbeMlikua mkifika na basi abiria wote mnaenda kumwambia dereva asante.
kila ikifika jioni tukiwa tumetoka shamba kwenda kilabuni kuskiliza na kuanggalia watu wanavyocheza muziki hata kama sio walevi, redio inatumia betri la gari.
kuna konda aliambiwa akifika Morogoro amstue dogo akasahau, walipofika Mikumi akataka ampakie kwenye gari arudi akashangaa dogo anafungua menyu...............Unaikumbuka ile ukiwa mdogo unakabidhiwa kwa konda afu kule town ndugu wanakuja kukupokea.