PreGE2025 Tujikumbushe ya Askofu Gwajima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Unamshambulia bila kujikita kwenye maneno anayosema?
 
Mbona ameeleweka tu vizuri!
Kwa kifupi alimaanisha kuna "Genge la State" ambalo linatumwa kuteka na kuua! Na wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wakithubutu kuligusa wanapoteza vibarua vyao!
Nikaanza kutafakari ile kauli ya Muliro J kuwa siku ile Mahakamani 24.05 Polisi walimkamata Heche na Mnyika tu hao wengine hakujua wamekamatwa na nani,pamoja na kwamba kuna kikosi cha kivita kilikuwa na Nissan nyeupe kikipiga watu na kwenda kuwavunja miguu kisha kuwatupa Mabwepande.
Nchi hii ni ngumu sana!
Nadhani tuanze kutubu dhambi kwa damu ya Watanzania wenzetu iliyomwagika bila hatia!
Ardhi ya Tanzania imeshalaaniwa!
 
Milio imeanza kusikika, hoja yake imeemda mjini.
 
Gwaji boy ni binadam kama binadam wengine, tutamuunga mkono atakapokuwa sehemu ya kupambania jamii!, madhaifuvl yake kila binadam anayo. Sasa watanzani tuko nae na njia pekee ya kumfumba mdomo ni WAHUSIKA WATOKE WAJIBU HOJA ZAKE.
 
Kuna muda uwe hata na aibu na ufiche ujinga wako.
 
Kweli
 
Kwa kweli, kama kuna anayemwelewa, atusaidie. Gwajima, yule anayejifanya mshenga kama Lissu anavyomuita, hebu aache kutuvuruga akili. Siasa siyo sinema.
Njoo tukueleweshe usiogope
 
Ngoja na wewe uchukuliwe na watekaji uje upatikane huna macho.Ndiyo utamwelewa Gwajima.
 
Kawaambie maboss zako hii imebuma
 
Linaanzisha Uzi ujamwelewa gwaji boy unamwelewa Samia?
 
Yaani uharibu sehemu X harafu ukimbilie sehemu B ukaharibu tena? Utakuwa na Akio timamu?

Mwisho kimefanyika au hakijafanyika watu Waliopo maeneo husika ndio wanajua wewe endelea kuropoka tuu mitandaoni.
 
Yaani ni wapumbavu hata mambo ya ku reason kwa kawaida wanataka mpaka muongozo wa chama...no matter vijana wenye akili wakienda upande ule wanakuwa kama mazezeta
 
hoja yake inamashiko au haina kama haina ikatae kwa hoja na mifano nasio kumshambulia na kuwatoa watanzania kwenye mstaari..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…