Tujikumbushe wahenga

Twende kazi....
Baadae sana wale viongozi wakaniita nijieleze huyo mchungaji alieko harare namfahamu kivipi,nikawaeleza kuwa ni rafiki yake babaangu japo yeye hanifahamu mpaka nikajieleze.
Kumbe kati yao mmoja wao alikuwa na safari ya kwenda harare hivyo wakaniambia hawana imani na mimi hivyo nitakaa nyuma kwenye pick up yake nikaona fresh na gari yenyewe imefunikwa kwa hiyo nikakubali,jamaa kanipeleka kwake tukala kisha safari inaanza ya km 400 na ushee.
Usiku saa mbili tunafika kwa huyo mchungaji maeneo karibu harare university,jamaa kagonga hodi mala anatoka kijana mmoja anatusalimu kisha anatukaribisha ndani.
Ndani tunamkuta mwenyeji baada ya salamu(kwa kiingereza) jamaa anamwelekeza mchungaji (hapo jamaa alikuwa na hofu kuwa huenda nikakataliwa)
Jamaa akamueleza kuwa huyu mtu kapatwa na changamoto ya viza lakini kakutaja wewe kama ndugu yako hebu msikilize,mzee kaniuliza kwa kimombo unatoka wapi?
Mimi:Tanzania
Mzee; hujambo
Mimi; sijambo shikamoo
Mzee: unatoka mkoa gani?
Mimi :mbeya
Mzee; unaitwa nani?
Mimi; lukaa (si jina halisi?
Mzee: babaako?
Nikamtaja yaani kufumba na kufumbua nilikumbatiwa na familia nzima yaani mama mtoto na baba kumbe mama alikuwa sehemu anasikia kila kitu na aliposikia jina baba alifurahi mno kwa kweli nikasahau shida zangu kwa muda.
Yule jamaa alienileta alifadhaika sana kwa jinsi nilivyopokelewa....




Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
Ukumbuke kunitag
 
Twende kazi....
Baadae sana wale viongozi wakaniita nijieleze huyo mchungaji alieko harare namfahamu kivipi,nikawaeleza kuwa ni rafiki yake babaangu japo yeye hanifahamu mpaka nikajieleze.
Kumbe kati yao mmoja wao alikuwa na safari ya kwenda harare hivyo wakaniambia hawana imani na mimi hivyo nitakaa nyuma kwenye pick up yake nikaona fresh na gari yenyewe imefunikwa kwa hiyo nikakubali,jamaa kanipeleka kwake tukala kisha safari inaanza ya km 400 na ushee.
Usiku saa mbili tunafika kwa huyo mchungaji maeneo karibu harare university,jamaa kagonga hodi mala anatoka kijana mmoja anatusalimu kisha anatukaribisha ndani.
Ndani tunamkuta mwenyeji baada ya salamu(kwa kiingereza) jamaa anamwelekeza mchungaji (hapo jamaa alikuwa na hofu kuwa huenda nikakataliwa)
Jamaa akamueleza kuwa huyu mtu kapatwa na changamoto ya viza lakini kakutaja wewe kama ndugu yako hebu msikilize,mzee kaniuliza kwa kimombo unatoka wapi?
Mimi:Tanzania
Mzee; hujambo
Mimi; sijambo shikamoo
Mzee: unatoka mkoa gani?
Mimi :mbeya
Mzee; unaitwa nani?
Mimi; lukaa (si jina halisi?
Mzee: babaako?
Nikamtaja yaani kufumba na kufumbua nilikumbatiwa na familia nzima yaani mama mtoto na baba kumbe mama alikuwa sehemu anasikia kila kitu na aliposikia jina baba alifurahi mno kwa kweli nikasahau shida zangu kwa muda.
Yule jamaa alienileta alifadhaika sana kwa jinsi nilivyopokelewa....

Imeisha au?


Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
 
Tuendelee.....
Naada ya yule jamaa kuondoka nikaeleza yaliyonikuta japo mchunhaji alitaka nirudi TANZANIA ilibidi niongope kuwa nina mwenyeji Botswana ananisubiri kwa shingo upande aliafanya proccess zote za mimi kupata viza kabla ya zile siku hazijaisha.
Hapo kumbuka jamaangu john tulivyoachana hatuna mawasiliano yoyote kumbe mwenzangu alifika katika mahangaiko alipata kibarua pia alipata mwenyeji. Sasa kumbe kila wanapokula alikuwa anaonekana hana furaha ilibidi waongee nae ndipo alipofunguka kuhusu mkasa mzima ma jinsi tulivyoachana kimajanga.
Ile familia walisikitika mno familia nzima wakaanza maombi na kufunga kwa ajili yangu japo hawanijui(kuna jambo la kujifunza hapo)

TURUDI KWANGU SASA

wasiwasi ulianza kujaa moyoni maana sasa naenda kupambana mwenyewe itakuwaje kisha najipa moyo nikiwa nawaza hivyo nilikuwa ubarozi wa botwana na mwenyeji wangu ndio tunakamilisha hatua za mwisho.
Mala anasogea kwangu jamaa mmoja mrefu mwembamba mweupe kashika fomu ya kuombea viza sasa kuna mahali ilimtatiza kujaza.
Kasogea kwangu kanisalimu kimombo nikamjibu kaniuliza hiki kipengere tunajaza vipi? Nikamwambia unaandika nchi unayotoka kainama naoa anajaza Tanzania.
Nikaita OYAAA kanijibu, ah nimepata kampan tukajawa na furaha wote nikajikuta nina nguvu na mori mpya ya kwenda SA,alipofika mwenyeji wangu kakuta tupo wawili wote tunaongea kiswahili mchungaji alifurahi ikabidi afanye utaratibu wa tiketi siku hiyo hiyo ili asubuhi tuanze safari.
Asubuhi inafika tupo ndani ya basi tena mpaka jioni tunafika boda mala paap afsa uhamiaji alienirudisha
Siku ya kwanza nakutana nae tena safari hii anataka show money na mimi sina ananiambia kama huna huruhusiwi kuingia Botswana,nikachanganyikiwa tena.......
Itaendelea...


Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
 
Inaendelea...
Hapo nipo ofisi za uhamiaji yule officer alienirudisha zimbabwe nipo kwake tena safari hii anataka show money,na mimi sina, akaniambia vinginevyo huingii Botswana nikachanganyikiwa safari hii ilikuwa zaidi nikawa najiuliza nitapata msaada wapi tena?
Nikaamua kuwa kichaa zaidi nikamfokea sana nikamuuliza una nini na mimi sikumbuki maneno mengine lakini nadhani nilinena kwa lugha(joke)
Mala akanigongea muhuri wa kuniruhusu akiwa na hofu kwa jinsi nilivyobadilika
Sura. Mdogo mdogo nikalielekea lilipo basi tayari kwa safari kwenda Gaberone.
Safari iliendelea tukafika Gaberone alfajiri nikiwa na Mtanzania mwenzangu ambaye baadae nikajua jina lake Ramadhan
Asubuhi tukiwa jijini hatujui wapi pa kuanzia lakini mwenzangu alikuwa akinipa moyo kutokana na vyeti alivyonavyo akiwa na imani kwamba ataanza kupata kazi yeye na atanisaidia
Kumbuka safari yangu ni kwenda SA pale Botswana nina siku tisini tu za kukaa.
Taswila tuliyokuwa kuwa nayo juu ya Gaberone tuliona kama jiji kuubwa kuliko hata Dar, tukajikuta kila tukienda huku tuko nje ya mji yaani mji ni mdogo.
Baada ya mizunguko jioni ikafika hatuna pa kulala na wakati huo ulikuwa ni mwezi mtukufu wa ramadhani, jamaa yangu rama akanishauri twende msikitini tukalale pale, lakini wakati tunatafakari tulikuwa bado tunazurula mtaani nikatoa wazo tofauti.
Nikamwambia moyo unanisukuma twende hiyo nyumba tujieleze kuwa tunatafuta kazi kisha tutawalekeza kuwa tupo msikitini ilikuwa kama saa mbili kasoro usiku,kwa vile pale palionekana kuna ujenzi unaendelea, jamaa kakubali tukajisogeza pale tukagonga hodi ghafla nikaona jambo ambalo sikulitegemea aliekuja kufungua mlango ni john tulieachana nae boda ya Botswana mara ya kwanza. nae aliponiona alifunga mlango kabla hatujaingia nikawa kama naota...
Tutaendelea kesho..

Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
 
Tuendelee.....
Naada ya yule jamaa kuondoka nikaeleza yaliyonikuta japo mchunhaji alitaka nirudi TANZANIA ilibidi niongope kuwa nina mwenyeji Botswana ananisubiri kwa shingo upande aliafanya proccess zote za mimi kupata viza kabla ya zile siku hazijaisha.
Hapo kumbuka jamaangu john tulivyoachana hatuna mawasiliano yoyote kumbe mwenzangu alifika katika mahangaiko alipata kibarua pia alipata mwenyeji. Sasa kumbe kila wanapokula alikuwa anaonekana hana furaha ilibidi waongee nae ndipo alipofunguka kuhusu mkasa mzima ma jinsi tulivyoachana kimajanga.
Ile familia walisikitika mno familia nzima wakaanza maombi na kufunga kwa ajili yangu japo hawanijui(kuna jambo la kujifunza hapo)

TURUDI KWANGU SASA

wasiwasi ulianza kujaa moyoni maana sasa naenda kupambana mwenyewe itakuwaje kisha najipa moyo nikiwa nawaza hivyo nilikuwa ubarozi wa botwana na mwenyeji wangu ndio tunakamilisha hatua za mwisho.
Mala anasogea kwangu jamaa mmoja mrefu mwembamba mweupe kashika fomu ya kuombea viza sasa kuna mahali ilimtatiza kujaza.
Kasogea kwangu kanisalimu kimombo nikamjibu kaniuliza hiki kipengere tunajaza vipi? Nikamwambia unaandika nchi unayotoka kainama naoa anajaza Tanzania.
Nikaita OYAAA kanijibu, ah nimepata kampan tukajawa na furaha wote nikajikuta nina nguvu na mori mpya ya kwenda SA,alipofika mwenyeji wangu kakuta tupo wawili wote tunaongea kiswahili mchungaji alifurahi ikabidi afanye utaratibu wa tiketi siku hiyo hiyo ili asubuhi tuanze safari.
Asubuhi inafika tupo ndani ya basi tena mpaka jioni tunafika boda mala paap afsa uhamiaji alienirudisha
Siku ya kwanza nakutana nae tena safari hii anataka show money na mimi sina ananiambia kama huna huruhusiwi kuingia Botswana,nikachanganyikiwa tena.......
Itaendelea...


Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
hapo uliposema nikaita “Oyaa" nimeelewa jinsi inavyofeel mazee ilikuwa ni furaha iliyoje
 
Back
Top Bottom