NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Kinywaji gani ni asili ya kwenu? Kwetu kuna komoni na kimpumu. Kwenu je?
Mnuso
Mlalo
Pingu
Kachaso
Piwa
Dengelua.
Ya kwanza na ya pili ni NOMA!
Kinywaji gani ni asili ya kwenu? Kwetu kuna komoni na kimpumu. Kwenu je?
Classification ya Ulanzi kulingana na alc % concentration;
- Nyamtutu
- Mkangafu
- Mdindifu
- Vudongofu
komoni, ulanzi mkangafu,wanzuki, kimpumu
pombe ya pumba za mahindi hiyo....
maziko saa nane.
Busa
Mangure
Wanzuki
piwa kwa kwenda mbele..
Maziko saa nane.