Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Mkubwa are u serious?Mzee Issa Lubuva,
Mimi nilisoma mid 1880's
Mkubwa are u serious?Mzee Issa Lubuva,
Mimi nilisoma mid 1880's
Yap Baba Mselle...mzee alikuwa hachekei ufisadi, dizaini flani hivi alikuwa conservative sio kama Tango. Ila kuna yule aliyekuwa Second Master akiitwa "Victor" alikuwa anajisikia kinoma noma...jamaa kutembea ilikuwa kwa maringo, kuongea maringo kweli cheo ni nuksi. Tulikuwa tunamwita "Abacha", maana alikuwa dikteta flani hivi. Kuna siku ametoka kupiga mipombe pombe yake huko Sweken sikumbuki kulikuwa za zali gani pale shule, nashangaa tunapangwa mstari pale basketball court jamaa alikuwa na guts za nguvu akaanza ku mpitia mwanafunzi mmoja mmoja na kumnusa mdomo kama amekunywa pombe ama la. Kweli waalimu wetu walikuwa na muda wa kuchezea.
umenikumbushia Msele chalii angu.
nakumbuka accent yake akiwa anahubiri darasani.
'nyie waswahili'.. mke wake alikua mnoko kama nini kutoa dawa pale dispensary.
Nakumbuka Dorm 5 lilikua chafu balaa
Farida yupo dar ameolewa na mwalimu ,simkumbuki kwa jina huyo mwalimu ila alikuwa anafundisha part time economics A,level, kwa sasa anafanyakazi azina makao makuu,mara kwa mara uwa nakutana na farida anaendesha Eskudo ALX T.....
Farida yupo dar ameolewa na mwalimu ,simkumbuki kwa jina huyo mwalimu ila alikuwa anafundisha part time economics A,level, kwa sasa anafanyakazi azina makao makuu,mara kwa mara uwa nakutana na farida anaendesha Eskudo ALX T.....
we acha 'kusema ndizi shilingi ngapi kuna mtu alikuwa anajua unasemaje kwa kibosho??
''makundu besa-inga??'' sijui nimepatia.
masela wa dorm 9 mpo?? wajanja,watukutu walikuwa humu,
dah!
Aisee umenikumbusha mbali sana mkuu! Umenikumbusha pale getini Kanteen. Wale wakina dada/mama waliokuwa miguu peku wakiuza "makunduu" na "maparachichi". That was a good life!
Kuna anayejua Salva "Mzee wa Madili" yuko wapi sasa hivi? Salva alikuwa King Pin wa ku supply mitihani ya Taifa. Ufisadi ulinza siku nyingi.
Balantanda
Nimemaliza umbwe A,level 2000,Headmaster Alikuwa Msele ,Academic master alikuwa P M mushi akisaidiwa na Protas,kulikuwa na mkuda mmoja anaitwa Mbise alikuwa mwl wa O.level sijui yupo wap na jamaa langu Sarinjo,Headprefect alikuwa prosper lawrence baadae akamwachia JOSEPH karobe,dorm leader wangu alikuwa machume,na prefect wa usafi na mazingira alikuwa Sango kasera
Hahaaaa,basi tulikuwa wote mtu wangu...Sarinjo,Mbise,Protas...lol...Prosper mshikaji wangu sana june nilivoenda Tz likizo nilonana nae... I hope mlikuwa na akina Martina,Kashoka,Mjengi,Ommy BUSTA,SPYTER...Hivi unamkumbuka jamaa mmoja alikuwa aitwa SHANELI na mwingine ZERO BRAIN aka KOSOVO...Kama vp ntakutumia PM mzee
Balantanda ulikuwa ECA au HGL?, mie nilikuwa hapo 1994 - 2000 [Both A-level na O-level]. I miss those good moments. I wish pangekuwa na University ningerudi mlemle.
Unamkumbuka Shehe B. Musa?, alikuwa kwenye misosi na Karata. Je Kentigen?, alikuwa mbishi kinoma. Dom 5 lilikuwa linaongoza kwa watu kupenda kula maini [maharagwe ya jana] na uji asubuhi. Yaani ukipiga hayo hata kama bili ya katizi kwa mama msele imeisha huna stori.
Chaaz Nyangi tupo naye hapa jijini, anaishi Sinza kwa Remmy. So ulimaliza na kina shanel?, sie tulimuachia dorm 5 mwaka 2000.