Ukikutana na Albino jitemee mate mwilini !!
Kama mkiwa watoto mnakunywa chai, mwenzenu mmoja akiitwa, akiacha andazi lake eti analipigia dungudungu! Basi hakuna atakaegusa andazi hilo, eti ukilidokoa tu mom wako anadedi .
Ukikutana na Albino jitemee mate mwilini !!
Kama mkiwa watoto mnakunywa chai, mwenzenu mmoja akiitwa, akiacha andazi lake eti analipigia dungudungu! Basi hakuna atakaegusa andazi hilo, eti ukilidokoa tu mom wako anadedi .