🤣🤣🤣🤣🤣🤣ilikuwa hatarii sana bida ya jioniFight ya sumu
View attachment 1759139
Ndugu tafadhali natafuta namba ya simu ya hapo Tosamaganga sec school.Habari kwa wale tulisoma shule hii kongwe ya Tosamaganga mkoani Iringa unakumbuka nini katika kipindi ukisoma, moment mbalimbali kama mpira kule msiwasi, sumu, misuli, makongamano mbalimbali pale shule, walimu mbalimbali.
Asante karibuni kwa maoni
Sikakuekewa “Malezi” ndo naniJaribu kuangalia namba ya malezi