na wakifika huko walale kwenye ile hostel yao waliyojengewaga! Yaani ****** wa posho kwisha, mafuta na ma pa diem ya madereva kwisha! .tungekuwa mbali vibayaa
Siku hizi kuna mabasi maridadi sana. wangeyatumia hayo huku tukipata pesa za dhahabu na almasi kama inavyotakikana tungeweza hata kupandisha chombo cha utafiti angani.
Hivi kwa nini wasituwekee masharti magumu? Mimi huwa wakati mwingine siwaelewi hawa wahisani wanaona kabisa kuna mismanagement lakini wanatupa misaada bila kutuwekea masharti magumu. Wana yao hao wengi wao wanajivunia mimali asili yetu kwa kubadilishana na tumisaada twao.