Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Huwa nikikumbuka zile ndoto za utotoni kabla ya kukojoa kitandani nacheka na kuushangaa ukuu wa Mungu.
Mara unaota unacheza mpira, halafu unabanwa na mkojo, unaenda pembeni unakojoa mara hamadi unashituka umeshalowa.
Au wenzangu mlikuwa hamuoti?
Mara unaota unacheza mpira, halafu unabanwa na mkojo, unaenda pembeni unakojoa mara hamadi unashituka umeshalowa.
Au wenzangu mlikuwa hamuoti?