Wakuu naomba kujuzwa. Kipi kilipelekea Dr Slaa akaihama CCM 1995
Hata mimi sifahamu sababu, au aliufuata usemi wa Nyerere kwamba kwa Tanzania chama Cha upinzani cha Ukweli ni CHADEMA tuu na kwasababu aliona upupu wa CCM akaamua kwenda chama makini. najaribu kubreinstomu tu