Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 2,266
- 4,427
Je Kuna kitu kime kuinspire kuhusu huyu mwamba ingawa last seen yake ni 2019.
Tujuzane wadau
Tujuzane wadau
Usitukumbushe machunguJe Kuna kitu kime kuinspire kuhusu huyu mwamba ingawa last seen yake ni 2019.
Tujuzane wadau
Tapeli wa forexJe Kuna kitu kime kuinspire kuhusu huyu mwamba ingawa last seen yake ni 2019.
Tujuzane wadau
Sasa hv sijui kadata muda wote yupo kuanzisha spaces uko twitterJe Kuna kitu kime kuinspire kuhusu huyu mwamba ingawa last seen yake ni 2019.
Tujuzane wadau
Executive secretary wa the money team 🤣🤣🤣.Jamaa lijinga sana lile, anatumia akili yake vibaya KUPOTOSHA UMMA WA WATANGANYIKA.
Huku Jamiiforums tulimshughulikia mpaka akatoroka akakimbilia twita kujizolea mazombi mengine ya kutapeli.
Ati JANGID!!
JANGID ya Nyokwe! Ebo!
Cc: niffah Nyani Ngabu
Hana uginiasi wowote ni anajifanya mjuaji sana kupita maelezo kumbe mjingaJamaa ni Genius
Wajinga hawaishiJitafutie wajinga upige ela. Kuna wanaopigwa pale kawe daily, kuna siye watanzania wote tunapigwa na rangi ya kijani daily. Kwa hiyo ili ufanikiwe lazima utafute wazembe wako
😂😂😂 Anakuambia eti anaamini Mungu juaYupo X (twitter) huko anakijiji chake na wafuasi wanaomuabudu.
Kondoo kabisa yule jamaa kuandikwa na Forbes ndio aringishie watuHana uginiasi wowote ni anajifanya mjuaji sana kupita maelezo kumbe mjinga
Kule twitter wakimchallenge anakimbilia kublock watu 😀
Bila wajinga hutoboi na mimi natafta wa kwanguWajinga hawaishi
Wajinga ni fursa