2. Mechi mbili tu jezi mpya za nini!!!??(Simba walipoanza mashindano CCL walitengeneza jezi mpya) wakimaanisha simba ikienda Algeria na kurudi ndio mwisho wao.
2. Mechi mbili tu jezi mpya za nini!!!??(Simba walipoanza mashindano CCL walitengeneza jezi mpya) wakimaanisha simba ikienda Algeria na kurudi ndio mwisho wao.
Hivi Uto wanaendelea kupokea wageni uwanja wa ndege ?
Namaanisha timu za nje zinazokuja kucheza na Simba ?
Vipi Kindoki bado anamuweka Bondi Mkewe ?
Yaani achukuliwe na Dume lingine kama Simba itashinda ?