Tujikumbushe asili ya Mungu

Tujikumbushe asili ya Mungu

Mkuu (nje ya dini zetu) sidhani Kama shetani yupo!!

Mimi nachojua kila kitu kina + & - energy(side)

Umeshawahi kuangalia video za wanyama mfn zile za NATIONAL GEOGRAPHY??

Huwa naona wanyama wanapigana, Kuna wanyama wanaiba mayai ya ndege wanachimba ardhi wanaficha, Kuna wanyama wanaua wenzao!! Huwa najiulza nao wanafanya hayo yote kwa sababu ya shetani???

Mimi naamini kuwa UBAYA NA WEMA (+&-/ two sides) is NATURE OF EVERYTHING.

Goite
Well said
 
Back
Top Bottom