Tujihadhari na ugonjwa wa ebola

Tujihadhari na ugonjwa wa ebola

scatter

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,671
Reaction score
940
Ndugu zangu naungana na watanzania wenzangu kuwapa taarifa ya tahadhari juu ya gonjwa hili kwani hatari na linasambaa kwa kasi ya ajabu.barani africa...dalili zake wakuu tu titirike ili tuanze kuchukua tahadhari naona wakuu wa nchi wamejisahau sana
 
Wakuu na ona mpo kimyaa ..
 
Mungu tu ndiye ayakayetunusuru lakini tusitegemee any serious actions toka serikalini
 
Watanzania hii ndo shida yetu kubwa, hii topic ni nzuri pengine kuliko zote hapa kulingana na wakati tuliopo lakini wachangiaji wako busy kwenye topic za Mapenzi
 
Symptoms usually begin abruptly. Symptoms include
>fever
>headache,
>joint and muscle aches,
>weakness
>diarrhea,
>vomiting,
>stomach pain,
>lack of appetite
>abnormal bleeding.
 
Tuombe Mungu atuepushie maana huu ugonjwa ukiingia Tanzania balaa tupu yan serikali haipo makini ktk vitu muhimu kama hivi,wanachojua wao mambo ya kufikirika kama homa ya dengue
 
mbona congo ua wanajitahidi kuucontrol hawa wa africa magharibu ku nani.?
 
Ndugu zangu naungana na watanzania wenzangu kuwapa taarifa ya tahadhari juu ya gonjwa hili kwani hatari na linasambaa kwa kasi ya ajabu.barani africa...dalili zake wakuu tu titirike ili tuanze kuchukua tahadhari naona wakuu wa nchi wamejisahau sana
Huu ugonjwa hauwezi kuingia bongo.., thanks to shirika la ndege lililokufa la nchi yetu. ila Kenya wanalo na Kenya Airways yao..
 
mbona congo ua wanajitahidi kuucontrol hawa wa africa magharibu ku nani.?
Congo huwa wanauguaga watu wa maporini tu.., na hauingii mjini coza hakuna miji kule congo.., so watu wanafia wote maporini na wala hakuna takwimu za kuwatambua.., basi ugonjwa unaishiaga huko huko maporini and no body cares..!!!
 
Symptoms usually begin abruptly. Symptoms include
>fever
>headache,
>joint and muscle aches,
>weakness
>diarrhea,
>vomiting,
>stomach pain,
>lack of appetite
>abnormal bleeding.

Mkuu Kula Like.
 
Mijitu mingine jinga sana we unaambiwa Tanzania unaanza kuzungumzia congo, eti wanafia maporin na ebola soma mada elewa ndipo uchangie, pamba...fuu.
 
Congo huwa wanauguaga watu wa maporini tu.., na hauingii mjini coza hakuna miji kule congo.., so watu wanafia wote maporini na wala hakuna takwimu za kuwatambua.., basi ugonjwa unaishiaga huko huko maporini and no body cares..!!!

Sasa wewe unafanya nini Tanzania kwa nini usiamie congo mada inausu tz congo imetoka wapi hapo tumia akili acha kufikiri kwa makalio.
 
mmeanza siasa zenu, tulien now attention ipo kwenye katiba.wizara ya afya ijihadhari tu kutulinda msiitangaze kama dengue
 
Watanzania hii ndo shida yetu kubwa, hii topic ni nzuri pengine kuliko zote hapa kulingana na wakati tuliopo lakini wachangiaji wako busy kwenye topic za Mapenzi

Wewe umechangia nini? Na umejuaje kama wako busy kwenye hizo topic kama na wewe hukuwa huko? Watu wengine bwana!!
 
Tuombe Mungu atuepushie maana huu ugonjwa ukiingia Tanzania balaa tupu yan serikali haipo makini ktk vitu muhimu kama hivi,wanachojua wao mambo ya kufikirika kama homa ya dengue

Na katiba mpya ili wapatw ulaji
 
Tuombe Mungu atuepushie maana huu ugonjwa ukiingia Tanzania balaa tupu yan serikali haipo makini ktk vitu muhimu kama hivi,wanachojua wao mambo ya kufikirika kama homa ya dengue

Kuna wanasiasa wanaombea uje wapige ufisadi kama kawaida.
 
nilikuwa naangalia picha za wa athirika kwa kweli hali inatisha. Ni hapa karibuni wauguzi na madaktari walio kuwa wanashughulika na tatizo hilo nao wanapatwa na janga hili. Mungu aepushe mbali
 
Back
Top Bottom