Ebwana wanaJF Mzuka!
Wengi wetu naamini kabisa tunapapara na vitu ikifika kuukubali mkataba na kuweka sahihi hasa wa Kazi na mikopo na kazi. Hatuchukui muda kuusoma na kuuliza maswali. Huenda labda ni desperation.
Halaf wanaotoa mikataba wajanja sana hasa wa mikopo. Unakuta mikataba ina kurasa nyiingiii na sehem zingine maandishi madogomadogo hili ikuchoshe. Sasa ikukute una papara na si mvumilivu unawahi kuweka sahihi nakujifunga.
Pia mikataba ya Kazi hivyo hivyo ukimwaga wino umeshajifunga no excuse. Ndio maana unakuta wakati hule Kigangwala alipofungia watu geti eti walilalamika wanaishi mbali wakati mkataba unasema wazi muda wa kuripoti kazini. Siwalaumu sana kwasabab ni hulka yetu.
Tuwen makin sana tunapopata na kuipitia mikataba kabla hatujaweka sahihi hili kuepuka mambo yanapotutokea puani na kuambiwa hil neno ambalo nalichukia "am sorry my/our hands are tied, nothing i/we can do"
Nawakilisha
Wengi wetu naamini kabisa tunapapara na vitu ikifika kuukubali mkataba na kuweka sahihi hasa wa Kazi na mikopo na kazi. Hatuchukui muda kuusoma na kuuliza maswali. Huenda labda ni desperation.
Halaf wanaotoa mikataba wajanja sana hasa wa mikopo. Unakuta mikataba ina kurasa nyiingiii na sehem zingine maandishi madogomadogo hili ikuchoshe. Sasa ikukute una papara na si mvumilivu unawahi kuweka sahihi nakujifunga.
Pia mikataba ya Kazi hivyo hivyo ukimwaga wino umeshajifunga no excuse. Ndio maana unakuta wakati hule Kigangwala alipofungia watu geti eti walilalamika wanaishi mbali wakati mkataba unasema wazi muda wa kuripoti kazini. Siwalaumu sana kwasabab ni hulka yetu.
Tuwen makin sana tunapopata na kuipitia mikataba kabla hatujaweka sahihi hili kuepuka mambo yanapotutokea puani na kuambiwa hil neno ambalo nalichukia "am sorry my/our hands are tied, nothing i/we can do"
Nawakilisha